Kuna mbinu mpya iliyotumika kuwavuna wabunge wa CCM wasisaliti serikali yao, kwani mbinu ya Mwakajana wasingeirudia tena. Na papo wabunge walio kinyume cha uozo ndani ya serikali wanafahamika, hao wanawekwa kando. Lakini hatima itawaumbua tu.
Yeah utamaduni wa CCM wanaotumia hauna Tofauti na utamaduni wa CPC ya China na ni kwamba CCM wanashindwa kutofautisha (intra-party mechanism) katika mfumo wa kisiasa ambao ni tofauti sana kati ya Tanzania(mfumo wa kisiasa na kiuchumi) na wa China.
Leo hii Wabunge wapambanaji wanaonekana maadui wa chama.Akina Esther bulaya,Deo Filikunjombe n.k wanaonekana maadui.Hawa wasiopate shida waendelee kuisimamia serikali yao.Nilikuwa ninajiuliza mbona wakati wa kupiga kura hawa wapambanaji hawakuwepo?kumbe inawezekana walikuwa sidelined kwenye mkakati wa chama.Wabunge hawa wamejiandikia historia kwa ncha kali ya kalamu hata kama watajiunga na upinzani.
It is unfortunate that Mr. president is not getting the right advice,he is not truthful or both.He is putting the cart b/4 the horse.For starters Tanzanians have been deceived,lied upon and cheated in the past by "OUR RULERS".What he could have done on resumption of office to date is to try "bring confidence".Though dauting a task.mind you I did not say "restore" because the confidence has never been there.though "worse of" at the moment if my memory does not fail me.
Now someone somewhere will ask,how can he "bring confidence"?.fix our dilapidated infrastructures for starters,show "serious" fight against corruption,build and allow institutions work as they ought to.Then i can take a vacation and mobilze for support for him in any new policy he brings to the table.
Otherwise,Aendelee kushindwa CHADEMA ijiandae kufanya radical reform>Maandalizi inabidi yafanyike sasa huku tukiendelea kudhibiti wezi hawa wasiendelee kufanya damage kwani kazi ya kujenga itakuwa ngumu mno kwetu huko baadae
Prof.Wangu kwenye somo la Intelligence and defence strateggies alinifundisha kwamba ndani ya Taifa lolote ukitaka kuandaa taarifa ambazo ni reliable and durable ni lazima ujaribu kuangalia nature,trend ya policies za vyama vya siasa,makundi ya kijamii na National priorities.Prof.Ben De'mour(Hebrew University)
Ili kuepuka udhaifu huu CHADEMA inabidi tuanze kuandaa Sera nzito kabisa na durable hasa kwenye sekata ya nishati na Madini,Gesi n.k. Taifa halina sera ya gesi hadi sasa.Nimejaribu kusoma source mbalimbali nikagundua gesi hii itachukua miaka 8 hadi tunufaike.Chadema tutakuwa kwenye position nzuri zaidi .
Wabunge wa CCM wanaojaribu kukiamsha chama chao wanawaona maadui,Wabunge viajna kama akina Deo wangekisaidia chama hicho kuliko hata akina Nape wanachofanya nje ya chama.Adui Muombee njaa....waendelee hivyo hivyo