Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Wadau kuna kundi linadai ufisadi na rushwa vimeongezeka kipindi hiki cha utawala wa rais samia mpaka rais akasema ufisadi na rushwa vilikuwepo awamu zilizopita.
Je, kuendelea kuwalipa mishahara na posho wabunge 19 waliofukuzwa na chama chao chadema kinyume na katiba ya nchi sio ufisadi unaofanywa na utawala wa sasa?
Je, kuendelea kuwalipa mishahara na posho wabunge 19 waliofukuzwa na chama chao chadema kinyume na katiba ya nchi sio ufisadi unaofanywa na utawala wa sasa?