Wabongo tunavyokagulia "Eapoti" za Ughaibuni....

Wabongo tunavyokagulia "Eapoti" za Ughaibuni....

Watu8

Platinum Member
Joined
Feb 19, 2010
Posts
76,290
Reaction score
108,312
katuni_2ae27.jpg
 
aibu yetu.

Wiki iliyopita nilikuwa Sauzi, sanduku langu nilikuta limepekuliwa vilivyo.
Niligundua hilo baada ya kulifungua(lilikuwa na kufuli), nilivyolipanga sivyo nilivyo likuta na kufuli lilifungwa kistadi lakini hakuna kilichochukuliwa.
 
Duh pole sana...huu udhia tulikuwa twauona tu kwa mataifa mwengine...lakini sasa dhahama hii ipo kwetu...

Wiki iliyopita nilikuwa Sauzi, sanduku langu nilikuta limepekuliwa vilivyo.
Niligundua hilo baada ya kulifungua(lilikuwa na kufuli), nilivyolipanga sivyo nilivyo likuta na kufuli lilifungwa kistadi lakini hakuna kilichochukuliwa.
 
Hakuna kitu kinachofanyika bila sababu!Hatuaminiki isije kuwa tumebeba mabom!
 
Back
Top Bottom