Mbalamwezi1
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 2,073
- 2,026
Ivi ni nn maana ya ushamba?Watanzania tuna matatizo gan nilikuwa najua ushamba umeshatuisha tangu kipindi icho huwezi amini hadi leo wabongo tena vijana na watuwazima bado wanaendelea kushangaa wazungu.........Tatizo ni nini....au kipi tunachokishangaa......kwa wale wazungu.....Watanzania tuwe washamba na tushangae vitu vinavyofaa kushangaa.....Kushangaa wazungu ni kitu kinachonikera na kuniumiza moyo na kunipa mawazo..........wewe unasemaje mwana jamii forums