Wabongo mkija majuu au ughaibuni acheni unafiki, majungu na ukora mnaliabisha Taifa lenu

Mkuu kwenye ukweli huwa sipindishi,jamaa ni muongo na mjuaji,alitaka details nimempa sasa hivi anakuja na ngonjera za akina mfaranyaki!.

Kama si muongo alipaswa anithibitishie kwamba nilichokisema si kweli.

Kwanza sidhani hata kama jamaa yupo Mamtoni,utakuta yupo hapo kwa mtogole anasagia kunguni wenzie akijinasibu yupo nje.

Huyu jamaa ni muongo na tapeli
Nimeangalia profile yako kumbe siyo kosa lako.
 
Kasaidia wengi mfano mmoja ni ndugu Invigilator amesaidiwa na wana JF wa majuu akiwemo Kiranga hadi kutua USA.
Huyo mburula hajui hata anataka nini.

Mara aniambie najua mambo mengi napaswa kusaidia, mara aniambie mimi muongo.

Yeye mwenyewe naona maisha yamempiga mpaka kachanganyikiwa anaweza kuwa anahitaji msaada mkubwa zaidi ya wa kuja Marekani.

Hebu msaidieni ushaurinadaha tusije kupigwa tukio buree.
 
Huyo mburula hajui hata anataka nini.

Mara aniambie najua mambo mengi napaswa kusaidia, mara aniambie mimi muongo.

Yeye mwenyewe naona maisha yamempiga mpaka kachanganyikiwa anaweza kuwa anahitaji msaada mkubwa zaidi ya wa kuja Marekani.

Hebu msaidieni ushaurinadaha tusije kupigwa tukio buree.
Wewe ni zezeta

Huna msaada zaidi ya ujuaji wa kijinga na kujifanya much know kumbe ni zumbukuku tu
 
Kwanza kabisa yeye mwenyewe ajue ana kipi, hana kipi, anataka kusaidiwa wapi.

Mfano.

Kuna watu wana degree ya kwanza, wanataka kusoma zaidi nje kwa njia ya scholarships, wanajua wamesoma field gani, wanajua wamefanya mitihani gani, au hata kama hawajui, hawa tunaweza kushauriana nao. Kuna network ya safari za mambo ya vyuo, scholarships, grants, loans etc.

Kuna watu hawana pa kufikia wala barua ya mualiko, wana safari za kijamii/kitalii wanahitaji barua ya mualiko itakayoonesha wana sehemu ya kufikia.

Kuna watu wana qualifications za kutafuta kazi zenye soko sana kimataifa, wanahitaji kujua jinsi ya kuunganishwa na makampuni ya kimataifa kufanya kazi.

Kitu muhimu ni mtu mwenyewe awe na idea ana kipi, anataka kufanya kipi, anataka msaada wapi, ana kipaji gani, mtu aanze kufanya homework yeye mwenyewe, si anataka kuja nje tu wakati hata yeye mwenyewe hajui anataka kufanya nini huko nje.
Ufafanuzi mzuri sana
 
Nobody, apart from the parents who brought you into this world, is obligated to help you.

And even parents are obligated only to a certain age.

So, when seeking help, humble yourself.

This is a very basic principle in life.
 
Nobody, apart from the parents who brought you into this world, is obligated to help you.

And even parents are obligated only to a certain age.

So, when seeking help, humble yourself.
Hakuna wa kukulamba miguu wewe,kama unataka kulambwa miguu ndiyo utoe msaada basi kafie mbali na nakuhakikishia mtoni nitakuja tu kwasababu si nchi yako hiyo
 
Mkuu Qualification siyo ishu,kuna watu wanaingiza mpunga mrefu na hawana hizo qualification unazotaka wewe.

Fursa zipo kibao,wewe unachotakakiwa ni kuzimwaga humu hapa na namna ya kuzifikia.Tunafahamu kufika huko ndiko tatizo,wewe inapaswa utusaidie namna ya kufika huko kwakuwa unauzoefu hata kama ni kwa pesa tutalipa.
Bufa
 
Kuna Mtanzania alimsaidia Mtanzania mwingine kumkatia tiketi ya ndege.

Kwa sababu wote Watanzania.

Aliyekatiwa tiketi alisema ana hali mbaya, hana hela, hana hata credit card, mgeni.

Baadaye, ikagundulika jamaa aliyekatiwa tiketi alibeba madawa ya kulevya. Alituhumiwa hivyo kukawa na kesi.

Wamarekani wakamdaka mpaka aliyenunua tiketi. Wakiamini kwamba naye alihusika katika biashara ya madawa ya kulevya. Hawakuamini mtu anaweza kukununulia tiketi hivihivi tu.

Jamaa aliyenunua tiketi akawa na kazi kubwa ya kuwaeleza Wamarekani kuwa sisi Watanzania tunaishi kwa kusaidiana hata watu ambao hatujuani sana, huyu mtu nilimsaidia kwa sababu ni Mtanzania mwenzangu tu, hatujuani kihiivyo na mimi sikujua habari zake za biashara ya madawa ya kulevya.

Wamarekani hawakumuamini.

Ikabidi jamaa apate kazi sana kuaelewesha kwamba huyo wala si mtu wa kwanza kumsaidia, kashasaidia Watanzania wengi tu.

Mpaka Wamarekani waelewe somo, jamaa alikuwa kashapata tabu sana.

Haya ndiyo baadhi ya matatizo yanayotokana nankusaidiana kiholela kwa sababu ni Watanzania tu.
Kinachokuwa ni shida ni kujuana sana, hata maisha ya Tz tunaishi kwa kujuana sana, Kenyans hata UGs naona wana mipaka flani, kila mtu na mambo yake na inasaidia, dawa ni kuwa na mipaka tu.
 
Jamani Kiranga UMUGHAKA yaishe msije shia pata ban bure. Kila mtu afanye anachoweza. Unaye omba kusaidiwa kama kiranga hawez kukusaidia usilaumu, ukute sio mlango wako huo. Watatokea wengine watakusaidia.
Msije kosana hata sura hamfahamiani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom