Cha mtu uliwa na mtu, chuma ndicho uliwa na kutu. Ukitaka ule peke yako basi hiyo ni sumu na ukitaka uende nayo wewe basi hilo ni jeneza,sanda&kaburi. Apendwi mtu inapendwa pochi. Mume wa mtu maziwa,mke wa mtu hana garama japo waoga wanadai ni sumu kwa uoga wao. Heshima pesaa kelele na shkamoo peleka kwenu.