Wabongo bwana, hawashindwi!

kic
tatizo kichwa jiwe huwezi kutofautisha kati ya TCU na HELSB
hapa kinachoongelewa ni vigezo vya kupata mkopo na sio vigezo vya kuchaguliwa facult na TCU ndo wanaconsider hizo vitu ulivyokomaa navyo wewe stuka bas khaaa au hujui ni vigezo gan ambavyo wanamconsider mtu katika kutoa mkopo?
 
Anayehisiwa angejitokeza hadharani ingesaidia! Yawezekana hawana uhusiano lakini wahusika wakaogopa hilo jina wakajikuta wametoa mkopo (kama kweli amepata) kwa non priority course! Lakini siku hizi kuna msemo mashuhuri "kutengua"!
 
Kwa mfano Mimi MHAGAMA mwakajana nilipata mkopo tayari mngesha sema kwa kua ni ndugu naJENISTER MHAGAMA si ndio na Mimi jenister namonaga tuu kwenye TV hata yeye hanijui jamani majina sio hoja OK sawa inawezekana kasoma private but walio kua wanamsomesha wamefariki pindi yupo kwenye mitihani ya form 6 tayari akapata kipaumbele cha mkopo pia kasoma arts ila anashida na maisha kwa mfano Mimi baba yangu japo nilikuwa siishi naye kwa mda mrefu ila nilifiwa na mama halafu baba kaja kufariki tayari nilisha omba mkopo hapo bodi hawato gundua kitu bac tuu nyie subirini mda mwingine form zenu hazijafika bodi kwa ajili ya kuchakatuliwa kwani Mimi nilikosa mkopo kwenda kuula wakanambia uliomba mkopo ila form yako hukutuma hapa nikawapa risiti ya EMS ndo kuamini kuhusu kapata 3 sio lengo LA bodi kuto mkopesha mwenye division 3 kwani kama ana vigezo (means tested) ni lazima apate haijalishi anaufaulu wa chini kwani tayari kakidhi vigezo
 
Iv pcb ya shle ya kata unaijua una iskia
 
tumeambiwa yote tuyafanyayo tuyafanye kaajili ya sifa na tukufu wa Mungu, nami sina lakusema bali sifa na utukufu uwe kwako ee Mwenyezi Mungu ulie juu ya wote juu ya vyote na juu yoote amina.
Amen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…