point ilikua private schools na shule za kata, eti kisa umetoka shule ya kata na ufaulu wowote upewe tu, ivi kwa mfano mtu kasoma feza boy taasusi ya pcb akagonga one ya point sita na mwingne wa shule ya kata pcb akagonga three ya 14 C,E. swali who will be considerd in preference to the other?