Kiukweli UDART wanapaswa walitazame hilo, hawa Jamaa wanapaswa wawe na Magari yao kwakuwa Ustarabu kwao ni Changamoto, Pamoja na Mizigo yao kuwa kero hata wenyewe pia wamekuwa kero unakuta Mtu amelala bahaharin akitoka asubuh mbio anawah Mwendokasi hata kuoga hajaoga ikiwa pale Ferry kuna Mabafu kwa ajili yao, ss humo kwenye Gari ni full ni kulalia Wenzake kwa Usingizi hadi unajuta kupanda gari lenyewe!!!