kimarabucha
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 791
- 621
Hakika uongozi wa mabasi ya mwendokasi wanatakiwa waangalie utaratibu mzuri wa kipakia abiria hasa wabeba samaki kituo cha Kivukoni.Wabeba samaki wamekuwa chanzo cha foleni ukataji tiketi kwani hawataki kufuata foleni iliopo.
Wabeba samaki wamekuwa wanatumia nguvu kubwa kuingia kwenye mabasi huku wakiwasukumua kina mama wagonjwa na watoto na pia mizigo inajaa kwenye mabasi hata kuleta usumbufu kwa abiria wengine.
Mwisho ni kelele na kusababisha usumbufu kwa abiria wengine kusikia matangazo yatolewayo ndani ya basi.
Ushauri kwa uongozi uangalie namna ya kuwahudumia wabeba samaki.
Wabeba samaki wamekuwa wanatumia nguvu kubwa kuingia kwenye mabasi huku wakiwasukumua kina mama wagonjwa na watoto na pia mizigo inajaa kwenye mabasi hata kuleta usumbufu kwa abiria wengine.
Mwisho ni kelele na kusababisha usumbufu kwa abiria wengine kusikia matangazo yatolewayo ndani ya basi.
Ushauri kwa uongozi uangalie namna ya kuwahudumia wabeba samaki.