The Proudly African
Senior Member
- Jun 22, 2017
- 139
- 169
Leo nimesikia hili neno likawa geni kwangu. Wababa wasiojiweza wakoje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
, sema kama umepanick mkuuToa maelezo yote uliyoyasikia, acha kuleta kipisi cha story uliyosikiliza yote kisha unatutega.
Hilo neno lina maana nyingi kila linapotumika kwa hao wababa sasa useme waliokuwa wanasema walikuwa sehemu gani.
Kuna wasiojiweza kimaisha, wasiojiweza kitand*ni, wasiojiweza mbele ya wanawake, wasiojiweza kwa pombe, wasiojiweza kufanya shughuli zao za kila siku yaani hilo neno linapotumika linakuwa na maana aiseee
Ni kweli maana kwa huu uzi ni kutegana ili kila mmoja aseme anachokidhaniaToa maelezo yote uliyoyasikia, acha kuleta kipisi cha story uliyosikiliza yote kisha unatutega.