Wababa wangapi wanawaogesha watoto wao?

Wababa wangapi wanawaogesha watoto wao?

Nashukuru Mungu ninao udhaifu kwenye mambo baadhi, lakini sio kumsaidia Mama watoto shughuli za kifamilia
 
inategemea, kama mtoto wa kiume anaoshwa na baba, ni kawaida lakini sasa huna uhuru wa kuosha nyeti
 
Hii mada na michango yote hii ndio ina define maana halisi ya nchi ya dunia ya tatu; na maana kuwa bado tuna mifumo ya zama za mawe which doesn't work in the present generation. Baba hana ukaribu na mwanae hata kumpa huduma ambazo ni muhimu kabisa; baba hamuelewi mtoto na mtoto hamuelewi baba. Matokeo yake ni kupata generation ya watu wenye ma degree na good qualifications ila ikija kwenye self expression ni zero..no self confidence; no reasoning na matokeo yake ni frustrations na panic. Wazazi Baba na mama ni muhimu sana wanapokua na moja ya njia nzuri ya ku intermingle ni katika malezi na shughuli zote za nyumbani...watoto wanakuzoea na wanakuwa wawazi kwako hawatokuwa na heshima ya woga. Sisi wakina baba tushiriki katika malezi sio kukimbilia bar baada ya kazi
 
inategemea, kama mtoto wa kiume anaoshwa na baba, ni kawaida lakini sasa huna uhuru wa kuosha nyeti

Inamaana wamama ndio wenye uhuru wa kuosha dushelele za watoto wao siyo? inamaana mtoto wako wa kike akijisaidia wakati mama yake yupo mbali kidogo atakaa na uchafu mpaka arudi siyo?
 
Kuna challenge ambayo nimeipata hapa kwa office. Kuna mzee moja amesema wanaume wengi wanapenda kufanya ila wanawake ni watu wenye matatizo sana. Ukifanya shughuli kama hizi rahisi sana kwa mwanamke kusema pindi ukiwa na marafiki zako (Baba Nanii muogeshe mtoto, baba nanii kafagie uwanja) anasema mwanaume kwenye maandiko ya dini ameubwa kumtawala mwanamke.

ni kweli huwa wanajisahau sana
 
I've done it all...bathed, changed diapers, burped, done her hair, checked her temperature, and everything else that a baby needs help with.
 
Very nice boy, kwa ulichokisema bilashaka some how wewe nitegemezi kwa mkeo kuhusu masuala ya mkwanja (Fedha) kwa sababu kutokuwa na wazo la utegemezi wa kifedha kwa mkeo pia ni mfumo dume

mkuu kwa taarifa yako mimi ni mfanyakaz mwajiriwa kwenye kampun moja kubwa hapa arusha na mke wangu ni mama wa nyumban na vibiashara vyake vdogovdogo sijalelewa kwenye mfumo dume hata baba yangu alikua akituhudumia hvyo so sion ajabu kwa mwanaume kuyafanya hayo kwa mkewe na watoto wake,wewe ni aina ya mababa msiojal wake zenu wala watoto tena ndo wale mnaorud nyumban ucku wa ma8,pole yako kaka.
 
Hii mada na michango yote hii ndio ina define maana halisi ya nchi ya dunia ya tatu; na maana kuwa bado tuna mifumo ya zama za mawe which doesn't work in the present generation. Baba hana ukaribu na mwanae hata kumpa huduma ambazo ni muhimu kabisa; baba hamuelewi mtoto na mtoto hamuelewi baba. Matokeo yake ni kupata generation ya watu wenye ma degree na good qualifications ila ikija kwenye self expression ni zero..no self confidence; no reasoning na matokeo yake ni frustrations na panic. Wazazi Baba na mama ni muhimu sana wanapokua na moja ya njia nzuri ya ku intermingle ni katika malezi na shughuli zote za nyumbani...watoto wanakuzoea na wanakuwa wawazi kwako hawatokuwa na heshima ya woga. Sisi wakina baba tushiriki katika malezi sio kukimbilia bar baada ya kazi

well said comrade now you hit the point,anae bisha hafai kua aina ya baba bora ktk jamii
 
mtoto wa kike ataoshwa na dada na haijawahi kutokea mie nkamwosha. alishafundishwa kwanza hamna ruhusa mtu kugusa vifaa vyake
 
mkuu kwa taarifa yako mimi ni mfanyakaz mwajiriwa kwenye kampun moja kubwa hapa arusha na mke wangu ni mama wa nyumban na vibiashara vyake vdogovdogo sijalelewa kwenye mfumo dume hata baba yangu alikua akituhudumia hvyo so sion ajabu kwa mwanaume kuyafanya hayo kwa mkewe na watoto wake,wewe ni aina ya mababa msiojal wake zenu wala watoto tena ndo wale mnaorud nyumban ucku wa ma8,pole yako kaka.

Asante yangu. Kama una upeo mkubwa wa kufikiri naomba ufafanue maana ya maneno haya...( Mfumo dume...(2 mfumo jike

Usiwe bias wa fikra
 
well said comrade now you hit the point,anae bisha hafai kua aina ya baba bora ktk jamii

Kuwa baba bora haiishii tu kuogesha, kuwalisha watoto na kurudi mapema home. Baba bora ni yule anaetake car family today na hata siku zijazo. Siku zijazo ni pale mtu unapo invest for your kids ili hata ukitoweka hapa duniani wasiishie kuwa ombaomba. Sasa wewe umeajiriwa vimishahara vyenyewe hand to mouth halafu kidume badala ya kutumia mda wa ziada kutafuta namna ya kujiongezea kipato wewe unakimbilia home kuwaogesha watoto na kuangalia katuni wakati mama yao yupo kha kweli majanga
 
Kuwa baba bora haiishii tu kuogesha, kuwalisha watoto na kurudi mapema home. Baba bora ni yule anaetake car family today na hata siku zijazo. Siku zijazo ni pale mtu unapo invest for your kids ili hata ukitoweka hapa duniani wasiishie kuwa ombaomba. Sasa wewe umeajiriwa vimishahara vyenyewe hand to mouth halafu kidume badala ya kutumia mda wa ziada kutafuta namna ya kujiongezea kipato wewe unakimbilia home kuwaogesha watoto na kuangalia katuni wakati mama yao yupo kha kweli majanga

Kaka Maisha ni karata, jinsi utakavyo zipanga vizuri ndivyo utakavyo fanikiwa. kama kutumia mda mwingi kwenye kazi ndio kupata pesa nyingi na kuinvest basi walinzi leo hii wangekuwa mamilionea. Unaweza ukawa unatumia muda mchache na mambo yakawa super. Sometimes ukiwa upo nyumbani na mishe mishe zinaendelea kama kawa. kuna ajira za nyumbani as well, kama mtu umejenga nyumba yako una eneo kubwa kiasi waweza angalia mifugo yako, vibustani kidogo na kadhalika
 
Kama ni mfano wa ubaba bora nadhani nastahiki zaidi ya hiyo hadhi. Napikia familia yangu, namuosha mwanangu, nambadili nguo na pampers akijisaidia, nina muda maalum wa kucheza na mwanangu na wa kufanya mazungumzo na wife na wa kucheza nao wote wawili, nafua, nafagia, napiga deki hadi toilet, nikipatacho (nazungumzia hela/fedha), approximately 25% nampa wife kwa ajili ya kujijenga yeye pia na kuwasaidia ndugu zake ili ikitokea hata nikifa leo basi najua kuwa wanangu wana mama ambae hatotetereka katika kuwahudumia kwani tayari ana vijimiradi vyake.

Life is yours and the choice is yours ila wababa tuwe karibu na familia zetu na tuwasaidie pia wake zetu ili wasichoke mapema na pia waweze kufurahia maisha siku zote na wala wasijihisi wamebebeshwa mzigo mkubwa juu yao.
 
Kaka Maisha ni karata, jinsi utakavyo zipanga vizuri ndivyo utakavyo fanikiwa. kama kutumia mda mwingi kwenye kazi ndio kupata pesa nyingi na kuinvest basi walinzi leo hii wangekuwa mamilionea. Unaweza ukawa unatumia muda mchache na mambo yakawa super. Sometimes ukiwa upo nyumbani na mishe mishe zinaendelea kama kawa. kuna ajira za nyumbani as well, kama mtu umejenga nyumba yako una eneo kubwa kiasi waweza angalia mifugo yako, vibustani kidogo na kadhalika

utajengaje nyumba na hand to mouth salary. ielewe post kwanza ndio uchangie bro
 
Mkurugenzi si unajua tena kumuogesha mtoto ni wajibu wa ke!
Kama hayupo sawa!
But akiwepo inakua ngumu sana kwa me kujivika hii duty!!!
Mm nawezamsaidia kupika lakini SI kumsafisha mtoto! Teh teh teh!

Really?
 
Kuwa baba bora haiishii tu kuogesha, kuwalisha watoto na kurudi mapema home. Baba bora ni yule anaetake car family today na hata siku zijazo. Siku zijazo ni pale mtu unapo invest for your kids ili hata ukitoweka hapa duniani wasiishie kuwa ombaomba. Sasa wewe umeajiriwa vimishahara vyenyewe hand to mouth halafu kidume badala ya kutumia mda wa ziada kutafuta namna ya kujiongezea kipato wewe unakimbilia home kuwaogesha watoto na kuangalia katuni wakati mama yao yupo kha kweli majanga

baba mwenye vgezo hvyo bila shaka atajal future ya familia yake by the way read btn the line uelewe hakuna mahal niliposema ni lazma kufanya hvyo kila siku nilimaansha sio dhambi kama ukifanya pale unapopata fursa,inaonekana mada imekugusa mkuu pole sana,hapa ni jf where we talk openely
 
Back
Top Bottom