Hahahaha anajifanyaga hakubali kushindwa, na matokeo yake ndio hayo akauvaa mkenge
kuna hii stori wapendwa, maana kwanza nimecheka kuliko maelezo
huyu mkaka ni kiwembe balaa, yaani sketi haimpiti kila siku kubadilisha tu wadada. Ila kuna siku akakutana na kiboko yake. Sasa juzi kati kakutana na mdada amekuja kwa ajili ya semina mahali, kama kawaida akamtongoza na hivi mdada ni mgeni hapa basi akawa anamtoa out jioni anamzungusha zungusha kuona mji, anampeleka club na mambo mengi tu ambayo yalikuwa yanamtobolea mfuko vilivyo. Lakini kila akiomba mchezo anaambiwa subiri subiri.
Baada ya kula kwa sana vihela vya jamaa siku hiyo mdada akamuita akamwambia leo nataka nikupe, mkaka wa watu kachekelea hatimae ndege kajinasa, basi baada ya kufika chumbani mdada akaanza risala "umening'ang'ania sana nikupe nikupe sasa leo nakupa na ole wako usiniridhishe utanitambua nakwambia, tena kwa sauti kavu kabisa akasaula akalala njoo sasa ule unazubaa nini? Na ole wako narudia ole wako ushindwe kumaliza chakula.
Duh! Mkaka wa watu ikabidi akanawa aanze kula unaambiwa zubri iligoma kunyooka kila akitaka kula wapi ka mlenda akajitahidi tahidi mwisho akamaliza sa si hakuweza vizuri basi mdada wacha aanze kumshutumu si nilikwambia lazima kazi uifanye vizuri sa ndio umefanya nini? Na leo huondoki mpaka niridhike haya fanya fasta akaenda kujianika tena kwa bed safari hii mkaka wa watu kujaribu ndio akashindwa kabisaaaaaa bora mara ya kwanza alijaribu.
Hivi wakaka ni kweli mdada akikuanzia na mikwara ya hivi ndio unakua kushinei ee
Ndio maana yake maana mwanamke katafuta udhaifu wa jamaa kapata... na jamaa angetumia udhaifu wa wanawakeMhhhh...inawezekana wewe ni strategist wa ofisi kuu...Mtu wakawaida kama Mzee DC hawezi kupata idea za nguvu kiasi hicho tena kwa muda mfupi.
Kweli huyo kaka alihitaji kuneutralize mkwara kwanza!
Hahhhh Mbu asa mbona watunyima uhondo?? tusikuulize kwa nini? Mi nanyoosha mkono naomba kuuliza...
Matty hahahaah wewe ulikopindia unakujua mwenyewe duh.....ila kusema kweli huyo dada alicheza na pyschology ya kaka- hakuna na nia naye.......... duh yaani ni kama vile uambiwe na afande wa kike, shughulika na ukishindwa utantambua........asa hiyo kunitambua hujui ana maanisha nini; kukutia ndani au kukuitia mabaunsa wakushughulikie, akili inagawanyika na ubongo unashindwa kupata meseji ipazavyo loh
ni kweli kabisa mzee dc (ingawa hili jina la mzee silipendi lol) huyu mkaka wa watu ni mzima kabisa, nikisema wananiuliza nimejulia wapi mwe! ule mkwara wa yule dada ulifanya kazi kisawa sawa
Unajua hata mie bado najiuliza........ alizima taa?Jamaa alipatikana..sasa kutaka kote mbona kitu chini?!! nadhani kususiwa ilimfanya apanic, hii inaweza kuwatokea wanaume wengine pia..Yani mdada ajilaze tu na kukukaribisha tena kwa masharti umfikishe, lazima mwanaume aone nyota kwanza!!..ha ha
Lakini alishinda angalau aliona tundu
Ndio maana yake maana mwanamke katafuta udhaifu wa jamaa kapata... na jamaa angetumia udhaifu wa wanawake
Huu uzi ulipofikia naamini naruhusiwa kwenda off TOPIC...lol... Maty huyo
mkaka kumpooza asipoteze kabisa nguvu inatakiwa kurecommend mdada..
Jamaa alipatikana..sasa kutaka kote mbona kitu chini?!! nadhani kususiwa ilimfanya apanic, hii inaweza kuwatokea wanaume wengine pia..Yani mdada ajilaze tu na kukukaribisha tena kwa masharti umfikishe, lazima mwanaume aone nyota kwanza!!..ha ha
Aaaaah wapi! keshapoteza malengo jamaaHuu uzi ulipofikia naamini naruhusiwa kwenda off TOPIC...lol... Maty huyo
mkaka kumpooza asipoteze kabisa nguvu inatakiwa kurecommend mdada..