Waarabu wazidi kuungana na Israel

Waarabu wazidi kuungana na Israel

Israel citizen kwa maelfu wamefurika dubai kula starehe,,yaani walikuwa hawajawahi kuona sehemu ya kula bata kama dubai,😆😁😁,wamefurahi sana,infact,,
Sasa subiri nao hao wavaa kanzu fupi waanze kwenda kutalii israel ndo patanoga,,
Mpaka juzi,kuna tajiri wa dubei,kainunua timu ya huko israel,, in short israel watamezwa
we jamaa hawa jamaa sio watoto, wajiunga ili kuwasoma maadui wao hao wanaotalii ni mashushu wa kufa mtu
 
Natamani sana kufika na kuishi na kuoa Kwenye nchi za kiarabu. Nafikaje uko wazee? Hasa Abu Dhabi au Qatar au Bahrain
 
Israel citizen kwa maelfu wamefurika dubai kula starehe,,yaani walikuwa hawajawahi kuona sehemu ya kula bata kama dubai,[emoji38][emoji16][emoji16],wamefurahi sana,infact,,
Sasa subiri nao hao wavaa kanzu fupi waanze kwenda kutalii israel ndo patanoga,,
Mpaka juzi,kuna tajiri wa dubei,kainunua timu ya huko israel,, in short israel watamezwa
Jidanganye usiposhangaa Mossad washamaliza kazi yao, yajayo yanafurahisha . Km mjuvi ushaelewa
 
Back
Top Bottom