MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,671
- 48,445
- Thread starter
- #21
Sio kwamba NATO wameamua kuja kivingine. Kwa sababu mbinu za zamani zinaanza kufeli. Mtahisi ni waarabu kumbe ni nato haohao
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
NATO wameshatimiza malengo yao ya kumsukumiza Mrusi mpaka akadhihirisha udhaifu wake, kashindwa kufumua kataifa jirani yake hapo, ameingia hasara hadi basi na hamna kikubwa alichofaulu.
Siku zote hata kitaani usipende maugomvi ugomvi watu wakusome kwamba huna nguvu... waendelee kukuona kama lijitu lenye sura mbaya na roho mbaya.