kaburunye
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 674
- 73
Nimesikia namna gazeti la Uhuru na Habari leo zilivyoripoti Tamko la CHADEMA kutomtambua JK nikashangaa sana maana ni kama vile jamaa waliongea na Dr Slaa mwingine. Kwa mfano uhuru wameandika Chadema yakubali kushirikiana na JK. Hawa jamaa yaani hata habari simple kabisa lazima waichakachue. Habari leo nao utafikiri ni gazeti la CCM, lazima wapindishe habari kuwafurahisha akina MAkamba!!!