Waandishi wa Habari, Wahariri, badilikeni mpate kuwa na weledi!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,334
24,229
Waandishi wetu wa habari katika miaka ya karibuni wamekuwa na quality idiyoridhisha, kwa kile wanachotulisha walaji wa habari.
Habari zinazo chapishwa ukitazama kwa makini sana huwa ni zile zilizotolewa na watoa habari na si zilixotafutwa na waandishi wa habari.

Hii ni changamoto kubwa sana, kwani habari za kuzitafuta mitaani, maofisini, hata huko vijijini ni nyingi mno.

Nenda pale Maelezo hata sasa hivi, na utakuta vijana wamejazana lale kusubiri kuletewa habari, na si kuxitafuta.
Tunaweza kusema si kosa lao kwani vyombo vingi vya habari havina mpango mkakati mzuri wa kutafuta, kuchambua na kuziweka habari hadharani.

Kwa mfano, masuala la makontena yaliyotoka bandarini bila kulipiwa ushuru , ningetegemea waandishi makini kufuatilia hiyo habari hadi kuuvulumbua mtandao mzima ulivyoshiriki, na kutuonyesha mhusika mkuu haswa toka serikalini alikuwa nani.

Sasa wenzetu wanatazamia habari, zile tunaweza kusema ni stage managed, habari zilizotengenezwa.

Mbaya zaidi, vyombo vingi haviajiri waandishi wataalam katika fani zao katika afya, uhandisi, ualimu.uchumi n.k.
Wanategemea zaidi vijana hawahawa waliomaliza kidato cha nne au sita kuandika habari nzito xilizo juu ya uwezo wao wa uelewa.

Hapo kutegemea weledi katika uandishi itakuwa ndoto.
 
Tanzania akuna uhuru wa vyombo vya habari...wambie wadhubutu kuujua ukweli wa vigogo itakula kwao.
 
Waandishi wetu wa habari katika miaka ya karibuni wamekuwa na quality idiyoridhisha, kwa kile wanachotulisha walaji wa habari.
Habari zinazo chapishwa ukitazama kwa makini sana huwa ni zile zilizotolewa na watoa habari na si zilixotafutwa na waandishi wa habari.

Hii ni changamoto kubwa sana, kwani habari za kuzitafuta mitaani, maofisini, hata huko vijijini ni nyingi mno.

Nenda pale Maelezo hata sasa hivi, na utakuta vijana wamejazana lale kusubiri kuletewa habari, na si kuxitafuta.
Tunaweza kusema si kosa lao kwani vyombo vingi vya habari havina mpango mkakati mzuri wa kutafuta, kuchambua na kuziweka habari hadharani.

Kwa mfano, masuala la makontena yaliyotoka bandarini bila kulipiwa ushuru , ningetegemea waandishi makini kufuatilia hiyo habari hadi kuuvulumbua mtandao mzima ulivyoshiriki, na kutuonyesha mhusika mkuu haswa toka serikalini alikuwa nani.

Sasa wenzetu wanatazamia habari, zile tunaweza kusema ni stage managed, habari zilizotengenezwa.

Mbaya zaidi, vyombo vingi haviajiri waandishi wataalam katika fani zao katika afya, uhandisi, ualimu.uchumi n.k.
Wanategemea zaidi vijana hawahawa waliomaliza kidato cha nne au sita kuandika habari nzito xilizo juu ya uwezo wao wa uelewa.

Hapo kutegemea weledi katika uandishi itakuwa ndoto.
Nimeguswa!.

Pasco
 
Jidu La Mabambasi

Siku hizi waandishi wengi wa habari wamemaliza vyuo vikuu. matatizo yalioko kwenye tasnia hii ni mtambuka ila kubwa kuliko yote ni UKATA!! Waandishi wengi hawajaajriwa na makampuni ya habari badala yake wanafanya kazi kama wachangiaji habari (Contributors) kwa mtindo wa kujitegemea (Free lance Journalism) hapo unatakaje upate habari za kitafiti (Investigative Journalism)? Kuna kipimo (Scale) hutumiwa kupima ukubwa wa habari iliyoletwa ili mtu alipwe kiasi gani cha fedha kwa habari aliyoleta, waulize huwa wanalipwa shilingi ngapi kwa kazi zao. Kwa hao unaowakuta hapo Maelezo kuna baadhi yao mwisho wa mwezi huambulia kulipwa hadi chini ya shilingi Elfu Hamsini (50,000).
 
Last edited by a moderator:
Waandishi wetu wa habari katika miaka ya karibuni wamekuwa na quality idiyoridhisha, kwa kile wanachotulisha walaji wa habari.
Habari zinazo chapishwa ukitazama kwa makini sana huwa ni zile zilizotolewa na watoa habari na si zilixotafutwa na waandishi wa habari.

Hii ni changamoto kubwa sana, kwani habari za kuzitafuta mitaani, maofisini, hata huko vijijini ni nyingi mno.

Nenda pale Maelezo hata sasa hivi, na utakuta vijana wamejazana lale kusubiri kuletewa habari, na si kuxitafuta.
Tunaweza kusema si kosa lao kwani vyombo vingi vya habari havina mpango mkakati mzuri wa kutafuta, kuchambua na kuziweka habari hadharani.

Kweli baadhi ya waandishi wetu wanajitoa ufahamu kumbuka baadhi ya maswali waliokuwa wanamuuliza Rais siku ya kutangaza mawaziri, mengi hayakuendana na weledi wa habari....mfano:mwandishi siku km hiyo anauliza swali la fedha na kodi! Waandishi wa namna hii wakasome logic kwanza vinginevyo matango pori hayata isha.
 
Nimeguswa!.

Pasco

Ukiwa nje ya system hutojua kinachoendelea ndani. Kwa ufupi ni kwamba...habari (magazeti, TVs, radio na mitandao) ni baishara kama zingine. 95% ya unachokisoma gazetini, unachokisikia redioni na kukiona kwenye TV kimelipiwa. Wanazunguka kwenye corporate offcies kufukukazana na proforma. Tukitaka watuandike tunawapigia simu kisha wanatupa quotation. 5% ndio kwaajili ya mvuto (kung'ang'ana na skendo, ripoti za ajali n.k.) Chukua mfano wa kasha la ice cream ya Bakhresa.
 
Waandishi wetu wa habari katika miaka ya karibuni wamekuwa na quality idiyoridhisha, kwa kile wanachotulisha walaji wa habari.
Habari zinazo chapishwa ukitazama kwa makini sana huwa ni zile zilizotolewa na watoa habari na si zilixotafutwa na waandishi wa habari.

Hii ni changamoto kubwa sana, kwani habari za kuzitafuta mitaani, maofisini, hata huko vijijini ni nyingi mno.

Nenda pale Maelezo hata sasa hivi, na utakuta vijana wamejazana lale kusubiri kuletewa habari, na si kuxitafuta.
Tunaweza kusema si kosa lao kwani vyombo vingi vya habari havina mpango mkakati mzuri wa kutafuta, kuchambua na kuziweka habari hadharani.

Kwa mfano, masuala la makontena yaliyotoka bandarini bila kulipiwa ushuru , ningetegemea waandishi makini kufuatilia hiyo habari hadi kuuvulumbua mtandao mzima ulivyoshiriki, na kutuonyesha mhusika mkuu haswa toka serikalini alikuwa nani.

Sasa wenzetu wanatazamia habari, zile tunaweza kusema ni stage managed, habari zilizotengenezwa.

Mbaya zaidi, vyombo vingi haviajiri waandishi wataalam katika fani zao katika afya, uhandisi, ualimu.uchumi n.k.
Wanategemea zaidi vijana hawahawa waliomaliza kidato cha nne au sita kuandika habari nzito xilizo juu ya uwezo wao wa uelewa.

Hapo kutegemea weledi katika uandishi itakuwa ndoto.


Ukiwa nje ya system hutojua kinachoendelea ndani. Kwa ufupi ni kwamba...habari (magazeti, TVs, radio na mitandao) ni baishara kama zingine. 95% ya unachokisoma gazetini, unachokisikia redioni na kukiona kwenye TV kimelipiwa. Wanazunguka kwenye corporate offcies kufukukazana na proforma. Tukitaka watuandike tunawapigia simu kisha wanatupa quotation. 5% ndio kwaajili ya mvuto (kung'ang'ana na skendo, ripoti za ajali n.k.) Chukua mfano wa kasha la ice cream ya Bakhresa.
 
Ninakereka sana na namna wanavyouliza maswali. Asilimia kubwa ni maswali yanawadhalilisha. Tizama namna mahojiano, sijui wanatumia dodoso moja!
 
Jidu La Mabambasi

Siku hizi waandishi wengi wa habari wamemaliza vyuo vikuu. matatizo yalioko kwenye tasnia hii ni mtambuka ila kubwa kuliko yote ni UKATA!! Waandishi wengi hawajaajriwa na makampuni ya habari badala yake wanafanya kazi kama wachangiaji habari (Contributors) kwa mtindo wa kujitegemea (Free lance Journalism) hapo unatakaje upate habari za kitafiti (Investigative Journalism)? Kuna kipimo (Scale) hutumiwa kupima ukubwa wa habari iliyoletwa ili mtu alipwe kiasi gani cha fedha kwa habari aliyoleta, waulize huwa wanalipwa shilingi ngapi kwa kazi zao. Kwa hao unaowakuta hapo Maelezo kuna baadhi yao mwisho wa mwezi huambulia kulipwa hadi chini ya shilingi Elfu Hamsini (50,000).
Mkuu kwa hiyo unaridhia kulishwa habari na vishoka wa habari?
Nakubaliana na mtoa hoja, hii tasnia haina viwango vya utendaji kazi.
 
Jidu La Mabambasi

Siku hizi waandishi wengi wa habari wamemaliza vyuo vikuu. matatizo yalioko kwenye tasnia hii ni mtambuka ila kubwa kuliko yote ni UKATA!! Waandishi wengi hawajaajriwa na makampuni ya habari badala yake wanafanya kazi kama wachangiaji habari (Contributors) kwa mtindo wa kujitegemea (Free lance Journalism) hapo unatakaje upate habari za kitafiti (Investigative Journalism)? Kuna kipimo (Scale) hutumiwa kupima ukubwa wa habari iliyoletwa ili mtu alipwe kiasi gani cha fedha kwa habari aliyoleta, waulize huwa wanalipwa shilingi ngapi kwa kazi zao. Kwa hao unaowakuta hapo Maelezo kuna baadhi yao mwisho wa mwezi huambulia kulipwa hadi chini ya shilingi Elfu Hamsini (50,000).
Ndugu yangu, kwa chombo cha habari, iwe TV, gazeti au redio kukosa mpango mkakati wa kupata habari zilizoenda shule, hiyo ni wakness kubwa sana.
Kama vyombo hivi vitamtegemea kijana anayeambulia 5,00 per month ili kipate habari za ukweli na uhakika, basi tunyoyaona sasa ndo kielelezo cha weakness hii.

Investigative journalism lazima iwe funded vizuri, na hata hizo report ni mali.
Kule Ghana , mwandishi mmoja na kamera yake kwarekodi mahakimu wakichukua rushwa katika kipindi cha miaka miwili.
Nakafanya hivyo kwa hela yake mwenyewe, huyo ndo mwandishi wa habari wa kweli!!

Mahakaimu hao wameishia kufukuzwa kazi wiki iliopita.
Sasa hapa waandishi hawakosi kisingizio cha kufanya kazi zao.
Inasikitisha.
 
Mkuu Labda Kwa Lengo La Kupata Ilimu Nikuulize Swali? Ni Kitu Gani Kinaanza Kati Ya Mabadiliko Na Weledi
 
Back
Top Bottom