Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Kuna waandishi wazuri lakini walio wengi wanaboa sana.Hebu soma taarifa ya wizi wa fedha za TRA zinazomhusu mfanyabiashara mmoja jijini Dar.
Gazeti la Majira:Kortini kwa wizi wa bil.3.8/- za TRA,
Gazeti la Daily News:Businessman arraigned for 2bn/- money laundering,
Guardian: Dar businessman in court over 3bn/- theft,
Nipashe:Kizimbani kwa tuhuma ya kuiibia TRA Sh. bilioni 3.,
Mtuhumiwa katika sakata hili wengine wamemuandika kama Erick Talemwa, wengine Erick Lugeleka!
Kwa hakika kama hawa waandishi waote walikuwepo kwenye kesi hii basi waandishi wetu wanamatatizo makubwa.
Rais mstaafu Mkapa(alikuwa mwandishi aliyebobea) yupo kwenye rekodi kwa kukataa kuongea na waaandishi wa kiTanzania na hii inaweza kuwa sababu tosha kabisa.
Gazeti la Majira:Kortini kwa wizi wa bil.3.8/- za TRA,
Gazeti la Daily News:Businessman arraigned for 2bn/- money laundering,
Guardian: Dar businessman in court over 3bn/- theft,
Nipashe:Kizimbani kwa tuhuma ya kuiibia TRA Sh. bilioni 3.,
Mtuhumiwa katika sakata hili wengine wamemuandika kama Erick Talemwa, wengine Erick Lugeleka!
Kwa hakika kama hawa waandishi waote walikuwepo kwenye kesi hii basi waandishi wetu wanamatatizo makubwa.
Rais mstaafu Mkapa(alikuwa mwandishi aliyebobea) yupo kwenye rekodi kwa kukataa kuongea na waaandishi wa kiTanzania na hii inaweza kuwa sababu tosha kabisa.