Anko Sam
JF-Expert Member
- Jun 30, 2010
- 3,200
- 820
Nilishangaa kusikia Al Adawi mmiliki wa DOWANS alikuja na kuondoka salama nchini.
Kwanza waandishi wa habari waliokwenda kwenye press conference hawakuwa na references za kumbana, yaani hawakujiandaa kwa maswali magumu?
Pili, hawakuonyesha hasira zao kama wananchi wa kawaida kwa nini mitambo yake isitaifishwe.
Tatu, walishindwa hata kumpiga kofi au kumrushia kiatu cha hasira ili ajuwe nchi hii inawenyewe!
Mimi naona waandishi wengi wa habari ni waoga wa kuchukuwa maamuzi magumu kwa maslahi ya Taifa. Wanakutana na Majambazi ya Taifa hili kwenye press conference za mara kwa mara lakini wanaogopa kuwakilisha hasira za wananchi kwa mafisadi hao.
Wapo wa akina Kubenea na timu yake wanatumia vyema kalamu kufichua ujambazi uliofichika.
Je wengine mnaonaje?
Kwanza waandishi wa habari waliokwenda kwenye press conference hawakuwa na references za kumbana, yaani hawakujiandaa kwa maswali magumu?
Pili, hawakuonyesha hasira zao kama wananchi wa kawaida kwa nini mitambo yake isitaifishwe.
Tatu, walishindwa hata kumpiga kofi au kumrushia kiatu cha hasira ili ajuwe nchi hii inawenyewe!
Mimi naona waandishi wengi wa habari ni waoga wa kuchukuwa maamuzi magumu kwa maslahi ya Taifa. Wanakutana na Majambazi ya Taifa hili kwenye press conference za mara kwa mara lakini wanaogopa kuwakilisha hasira za wananchi kwa mafisadi hao.
Wapo wa akina Kubenea na timu yake wanatumia vyema kalamu kufichua ujambazi uliofichika.
Je wengine mnaonaje?