Kuna mambo mengi sana ktk uandishi wengine wanaandika ili gazeti lipate wateja,wengine hawajui matumizi ya maneno ya kiswahili,kustaafu,kustaafishwa, kujihudhuru na kutenguliwa kwa kitu au mtu ni maneno yenye maana tofauti kabisa,wawe wanasoma kamusi ya kiswahili kwanza kabla ya kuandika mada