Waandamanaji wa Mtwara ni hawa hapa

Waandamanaji wa Mtwara ni hawa hapa

Namaanisha muungano wa vyama vya kisiasa umeishia wapi na kuwatupia mzigo Wananchi wasiokuwa na ufa
hamu wa gesi?. Waendelee kutujuza je kama tutashinda kupambana na serikali, plan 'b' ni ipi na je wakisusa kwa wanaofanya kazi ajira zetu zitakuwaje kwa maisha magumu haya?.

mkuu wanasiasa wameshamaliza kazi yao...ni jukumu la wananchi kuendeleza madai yao...hakuna anaeweza kuzuia nguvu ya wananchi, kwa hali ipofikia mtwara vyama vya siasa havina ushawishi tena. Inaonekana wewe hufuatilii matukio ya mtwara. Kwa kuanza anza na ziara ya Kinana na mawaziri wake uje na mengine!
 
mtoa mada anajipindua pindua sarakasi kwa makusudi,anameza meza maneno bila kunyoosha hoja,
as far as kusini is concerned kumtafuta muanzishaji is a wastage of time ndugu,as long as tanzania yote ipo nyuma yetu kwa maslahi ya kusini na taifa zima the message is delivered..!

And the victory won..!
Wameanza kuweweseka na kunyosheana vidole kina benjamin mkapa na kuisihi serikali ilegeze msimamo,sisi hatuna cha kupoteza,life expectancy imeshuka sana now adays,na walioishusha ni hao hao mafisadi,sisi tunaishi maisha mafupi kisha tunakufa na umaskini wetu,wao wanaish maisha marefu na wanA dumu na utajiri wetu,katika hili hakuna wa kututenganisha tena,tuko imara,,HATA TUKIFA SAIZ KWA KUPIGANIA MAISHA BORA YA WAJUKUU ZETU KIPI TUTAPOTEZA??

ccm na mafisadi wamejipindua kichwa chini miguu juu namna hii,,

check picha tafadhali;

swaga sana.jpg
 
namaanisha muungano wa vyama vya kisiasa umeishia wapi na kuwatupia mzigo wananchi wasiokuwa na ufahamu wa gesi?. Waendelee kutujuza je kama tutashinda kupambana na serikali, plan 'b' ni ipi na je wakisusa kwa wanaofanya kazi ajira zetu zitakuwaje kwa maisha magumu haya?.

ulipaswa kujua kabla ya kutenda, kwa kifupi mlipohamasishwa mbona hukuuliza hilo swali unalouliza sasa? Au unataka kusema wana mtwara ni punguani kiasi hicho? Mbona wamesomeka tu mtu wangu, hasa kwa kauli mbiu yao ''gesi kwanza vyama baadae'', unataka kupindisha nini sasa?
 
mkuu wanasiasa wameshamaliza kazi yao...ni jukumu la wananchi kuendeleza madai yao...hakuna anaeweza kuzuia nguvu ya wananchi, kwa hali ipofikia mtwara vyama vya siasa havina ushawishi tena. Inaonekana wewe hufuatilii matukio ya mtwara. Kwa kuanza anza na ziara ya kinana na mawaziri wake uje na mengine!


well said mkuu.
Well said,hayakuanzia kwa hao tuh,yamenzia tokea kwa kina kinana
 
Ngugu zangu kumekuwepo na danganya toto nyingi, kuhusu kuwatuhumu na kuwalaumu wananchi wa Mtwara huku tunaficha ukweli wa mambo. Kabla ya maandamano ya mwaka jana Mtwara kutokea, baadhi ya Vyama vya Siasa vilisikika kwenye vyombo vya habari vikihamasisha wafuasi wao walioko Mtwara na kwingineko Nchini, kuandamana na kujiaandaa kuunda Chama cha Muungano na walienda mbali zaidi na kufikilia kutafuta aina ya bendera yao na Nembo itakayotumika.

Leo hii tumesahaulishwa na kuanza kuwatupia mzigo mzito wanamtwara bila kujua madhara yake. Naomba nivitaje Vyama vilivyoratibu maandamano ya mwaka jana Mtwara kama ifuatavyo; NCCR - Mageuzi, CHADEMA, SAU, TLP, APPT - Maendeleo, ADC pamoja na DP. Leo hii vyama husika tena vimeanza kugawanyika, mfano juzi tu Mwenyekiti wa Taifa wa NCCR- Mageuzi alibadilikiwa alipotembelea Mtwara na kutoeleweka, huku wao ndo walioanzisha Parade.

Mimi siamini kama wanamtwara ndo waliandaa maandamano yale huku awali vyama vyote tajwa vilisikika vikiandaa maandamano yale. Kwa wasiojua mambo ya ajira Mtwara, kutoka kwa wawekezaji ni hivi kwa nafasi za kawaida; Kama unaajiri wafanyakazi kwa fani ambazo Wanamtwara wanaziweza lazima uajiri Mtwara au kama utaona sivyo unaleta waajiriwa wapya kutoka mikoani idadi sawa unayotarajia kuajiri Mtwara kisha unawachukuwa wengine kutoka Mtwara(Wazawa) na kuwapeleka Mikoani unakotaka wewe.

Kwa maana nyepesi wanabadilishana kwa idadi sawa. Huu mfumo umekuwepo muda mrefu hapa Mtwara, ni kweli kila mtu hupenda kuvutia kwake lakini si kama ilivyochukuliwa na vyama vya kisiasa hadi kuja na watu kutoka Mikoani kwaajili ya kuongeza idadi. Kiongozi wa kwanza kutuhamasisha hapa Mtwara kuhoji mambo ya gesi alikuwa Zitto ngawaje siku hizi amejiweka pembeni kidogo, tuanamsikia kwenye mitandao tu najua ni mambo ya kisiasa.

Kwa yule atakae bisha atueleze ni lini tulihamasishana kuhusu maandamano tofauti na vyama?. Ukibisha sana ntantumia ishale; Ukikaa ishale, ukichimama nchale, ukilala nchale, ukimung'unya nchale, ukikimbia nchale na ukichuchumaa nchale. Ntwara tunaipenda serikali ije tuongee tumalize tofauti zilizopandwa na vyama vya kisiasa, chacha chichi ntaka ntule wapi?
Kwani hivyo vyama vyote ulivyovitaja ulitegemea wanachama wake wawe ni wakazi wa wapi kwa hapa Mtwara. Halafu istoshe hata kama waliohamasisha maandamano ni vyama vya siasa, ulitaka vinyamaze bila kutuhamasisha kutetea haki yetu mpaka lini? Kwa kifupi inavyoonekana, mpaka hatua tuliyofikia (kuelekea 2015) ni kwamba CCM imeshapoteza majimbo yake ya uchaguzi kwa karibia asilimia tisini kwa mkoa wa Mtwara kwa hiyo kama lengo lako ni kuitetea CCM basi tafuta njia nyingine, sio hii.
 
MBONA UNACHOSEMA NI TOFAUTI NA HALI HALISI KULE MTWARA ? nadhani ubongo wako umepata shock ya gesi. uje upya na hoja ya maana. tutakuhamasisha ule mizizi, shauri yako.
 
ngugu zangu kumekuwepo na danganya toto nyingi, kuhusu kuwatuhumu na kuwalaumu wananchi wa mtwara huku tunaficha ukweli wa mambo. Kabla ya maandamano ya mwaka jana mtwara kutokea, baadhi ya vyama vya siasa vilisikika kwenye vyombo vya habari vikihamasisha wafuasi wao walioko mtwara na kwingineko nchini, kuandamana na kujiaandaa kuunda chama cha muungano na walienda mbali zaidi na kufikilia kutafuta aina ya bendera yao na nembo itakayotumika.

Leo hii tumesahaulishwa na kuanza kuwatupia mzigo mzito wanamtwara bila kujua madhara yake. Naomba nivitaje vyama vilivyoratibu maandamano ya mwaka jana mtwara kama ifuatavyo; nccr - mageuzi, chadema, sau, tlp, appt - maendeleo, adc pamoja na dp. Leo hii vyama husika tena vimeanza kugawanyika, mfano juzi tu mwenyekiti wa taifa wa nccr- mageuzi alibadilikiwa alipotembelea mtwara na kutoeleweka, huku wao ndo walioanzisha parade.

Mimi siamini kama wanamtwara ndo waliandaa maandamano yale huku awali vyama vyote tajwa vilisikika vikiandaa maandamano yale. Kwa wasiojua mambo ya ajira mtwara, kutoka kwa wawekezaji ni hivi kwa nafasi za kawaida; kama unaajiri wafanyakazi kwa fani ambazo wanamtwara wanaziweza lazima uajiri mtwara au kama utaona sivyo unaleta waajiriwa wapya kutoka mikoani idadi sawa unayotarajia kuajiri mtwara kisha unawachukuwa wengine kutoka mtwara(wazawa) na kuwapeleka mikoani unakotaka wewe.

Kwa maana nyepesi wanabadilishana kwa idadi sawa. Huu mfumo umekuwepo muda mrefu hapa mtwara, ni kweli kila mtu hupenda kuvutia kwake lakini si kama ilivyochukuliwa na vyama vya kisiasa hadi kuja na watu kutoka mikoani kwaajili ya kuongeza idadi. Kiongozi wa kwanza kutuhamasisha hapa mtwara kuhoji mambo ya gesi alikuwa zitto ngawaje siku hizi amejiweka pembeni kidogo, tuanamsikia kwenye mitandao tu najua ni mambo ya kisiasa.

Kwa yule atakae bisha atueleze ni lini tulihamasishana kuhusu maandamano tofauti na vyama?. Ukibisha sana ntantumia ishale; ukikaa ishale, ukichimama nchale, ukilala nchale, ukimung'unya nchale, ukikimbia nchale na ukichuchumaa nchale. Ntwara tunaipenda serikali ije tuongee tumalize tofauti zilizopandwa na vyama vya kisiasa, chacha chichi ntaka ntule wapi?
pole sanaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!
 
Wanamwata wajue kwamba maengeleo yapo mikononi mwao... wameshaonyeshwa njia.. wasimsubirie zitto kutoka kigoma aje kubeba bango
Ukitulia utamuelewa, Mi nimeshangazwa na jinsi CCCUFM walivyojipenyeza na kudaka hoja ya gesi na sasa wanaimiliki. Hiyo vyama alivyovitaja mdau sasa havisikiki tena. Finally, lengo hatitafanikiwa kama misingi ya madai haitabaki imara.
 
Ukitulia utamuelewa, Mi nimeshangazwa na jinsi CCCUFM walivyojipenyeza na kudaka hoja ya gesi na sasa wanaimiliki. Hiyo vyama alivyovitaja mdau sasa havisikiki tena. Finally, lengo hatitafanikiwa kama misingi ya madai haitabaki imara.

madai hayako imara....!,nani kasema hao CUFMCC"sisikafu emu" ni wanakoleza tu huo moto but moto unawaka vizuri kina NKAPA ,NEPI,NCHENGA.wote wana ote kwa mbali sana hawathubutu kufika NTWARA,wanaogopa kuwa chamaki nchanga.
''NTWARA gewsi kwanza vyama , dini , uhai , baadae''
 
mtoa mada anajipindua pindua sarakasi kwa makusudi,anameza meza maneno bila kunyoosha hoja,
as far as kusini is concerned kumtafuta muanzishaji is a wastage of time ndugu,as long as tanzania yote ipo nyuma yetu kwa maslahi ya kusini na taifa zima the message is delivered..!

And the victory won..!
Wameanza kuweweseka na kunyosheana vidole kina benjamin mkapa na kuisihi serikali ilegeze msimamo,sisi hatuna cha kupoteza,life expectancy imeshuka sana now adays,na walioishusha ni hao hao mafisadi,sisi tunaishi maisha mafupi kisha tunakufa na umaskini wetu,wao wanaish maisha marefu na wanA dumu na utajiri wetu,katika hili hakuna wa kututenganisha tena,tuko imara,,HATA TUKIFA SAIZ KWA KUPIGANIA MAISHA BORA YA WAJUKUU ZETU KIPI TUTAPOTEZA??

ccm na mafisadi wamejipindua kichwa chini miguu juu namna hii,,

check picha tafadhali;

View attachment 80551
m

MLETA MADA UMESIKIA....! rudia mada yako KILAZA Mkubwa ulizani KIZOTA HAPA.
 
Huyu jamaa anajifanya ati anaandika akiwa Mtwara, muongo mkubwa huyu. Hajui chochote kuhusu yanayotokea Mtwara na kama angekuwa yupo huku bilashaka angetauta mahali pa kujifcha. Wanamtwara wapo pamoja katika hili na tumeapa kutorudi nyuma. hata ikibidi kwenda umoja wa mataifa kuomba kujitenga tukawa na nchi yetu tupo tayari. Ole wao mafisadi wa utawala huu.
 
Ni aibu! kuna watu wanaanza kutokwa na mapovu juu ya nani kamhamasisha nani,jibuni hoja za msingi za maandamano; Mkataba unasemaje,wananchi wananufaika vipi etc..hayo who is behind yanahusu? say ni chama fulani then what next? Kwa mfano wanapohamasisha maandamano watu wa haki za binadamu eneo fulani utasema haiwahusu wananchi kwa sababu hawa kufanya mobilization wao wenyewe ila external agent? ....thats intellectual myopia! kupanga ni kuchagua!:A S angry:
 
Ukitulia utamuelewa, Mi nimeshangazwa na jinsi CCCUFM walivyojipenyeza na kudaka hoja ya gesi na sasa wanaimiliki. Hiyo vyama alivyovitaja mdau sasa havisikiki tena. Finally, lengo hatitafanikiwa kama misingi ya madai haitabaki imara.

kumbe huu muungano usio rasmi wa hivi vyama vitatu unaweza kuitwa NCCUR FM utapatikana kwenye MHz
20.15 fm
 
Ngugu zangu kumekuwepo na danganya toto nyingi, kuhusu kuwatuhumu na kuwalaumu wananchi wa Mtwara huku tunaficha ukweli wa mambo. Kabla ya maandamano ya mwaka jana Mtwara kutokea, baadhi ya Vyama vya Siasa vilisikika kwenye vyombo vya habari vikihamasisha wafuasi wao walioko Mtwara na kwingineko Nchini, kuandamana na kujiaandaa kuunda Chama cha Muungano na walienda mbali zaidi na kufikilia kutafuta aina ya bendera yao na Nembo itakayotumika.

Leo hii tumesahaulishwa na kuanza kuwatupia mzigo mzito wanamtwara bila kujua madhara yake. Naomba nivitaje Vyama vilivyoratibu maandamano ya mwaka jana Mtwara kama ifuatavyo; NCCR - Mageuzi, CHADEMA, SAU, TLP, APPT - Maendeleo, ADC pamoja na DP. Leo hii vyama husika tena vimeanza kugawanyika, mfano juzi tu Mwenyekiti wa Taifa wa NCCR- Mageuzi alibadilikiwa alipotembelea Mtwara na kutoeleweka, huku wao ndo walioanzisha Parade.

Mimi siamini kama wanamtwara ndo waliandaa maandamano yale huku awali vyama vyote tajwa vilisikika vikiandaa maandamano yale. Kwa wasiojua mambo ya ajira Mtwara, kutoka kwa wawekezaji ni hivi kwa nafasi za kawaida; Kama unaajiri wafanyakazi kwa fani ambazo Wanamtwara wanaziweza lazima uajiri Mtwara au kama utaona sivyo unaleta waajiriwa wapya kutoka mikoani idadi sawa unayotarajia kuajiri Mtwara kisha unawachukuwa wengine kutoka Mtwara(Wazawa) na kuwapeleka Mikoani unakotaka wewe.

Kwa maana nyepesi wanabadilishana kwa idadi sawa. Huu mfumo umekuwepo muda mrefu hapa Mtwara, ni kweli kila mtu hupenda kuvutia kwake lakini si kama ilivyochukuliwa na vyama vya kisiasa hadi kuja na watu kutoka Mikoani kwaajili ya kuongeza idadi. Kiongozi wa kwanza kutuhamasisha hapa Mtwara kuhoji mambo ya gesi alikuwa Zitto ngawaje siku hizi amejiweka pembeni kidogo, tuanamsikia kwenye mitandao tu najua ni mambo ya kisiasa.

Kwa yule atakae bisha atueleze ni lini tulihamasishana kuhusu maandamano tofauti na vyama?. Ukibisha sana ntantumia ishale; Ukikaa ishale, ukichimama nchale, ukilala nchale, ukimung'unya nchale, ukikimbia nchale na ukichuchumaa nchale. Ntwara tunaipenda serikali ije tuongee tumalize tofauti zilizopandwa na vyama vya kisiasa, chacha chichi ntaka ntule wapi?
He.
He.
Huyu ndugu hivi nyie wenzangu mumemuelewa..?? Mbona hii gesi itawapeleka resi milembe wengi, embu angalieni kilichopostiwa Hata ukivisheje nguo hakieleweki..

Ushauri Wa bure: Kama una post unadhani una wazo unalofikiria wewe ni jema jaribu ku-pm wenzako walirekebishe at least lieleweke..

Unasema wandamanaji wa mtwara hawa hapa, ukiangalia ndani umetaja vyama, pembeni kidogo unasema NCCR ndo kiranja wao, Baadae ... Wamemtimua mwenyekiti wao (manake mwenyekiti kajitimua), Baadae unadai tena Zito ndiye kinara Na mwanzishaji wa vuguvugu hizi, yaani hapaeleweki .. Embu kajipange bwana..!!
 
Namaanisha muungano wa vyama vya kisiasa umeishia wapi na kuwatupia mzigo Wananchi wasiokuwa na ufahamu wa gesi?. Waendelee kutujuza je kama tutashinda kupambana na serikali, plan 'b' ni ipi na je wakisusa kwa wanaofanya kazi ajira zetu zitakuwaje kwa maisha magumu haya?.

kaa pembeni ewe mzandiki. umepewa elimu ya uraia na hivyo vyama ulivyovitaja sas ni kazi kwetu na kama wewe binafsi hauhitaji kupigania gasi isisafirishwe ghafi usitukatishe watu tamaa tuliotayari kusimamia hili. gamba mkubwa we.ACHA WOGA TETEA KWA AJILI YA KIZAZI KIJACHO. AMKA KIFIKRA.
 
Ngugu zangu kumekuwepo na danganya toto nyingi, kuhusu kuwatuhumu na kuwalaumu wananchi wa Mtwara huku tunaficha ukweli wa mambo. Kabla ya maandamano ya mwaka jana Mtwara kutokea, baadhi ya Vyama vya Siasa vilisikika kwenye vyombo vya habari vikihamasisha wafuasi wao walioko Mtwara na kwingineko Nchini, kuandamana na kujiaandaa kuunda Chama cha Muungano na walienda mbali zaidi na kufikilia kutafuta aina ya bendera yao na Nembo itakayotumika.

Leo hii tumesahaulishwa na kuanza kuwatupia mzigo mzito wanamtwara bila kujua madhara yake. Naomba nivitaje Vyama vilivyoratibu maandamano ya mwaka jana Mtwara kama ifuatavyo; NCCR - Mageuzi, CHADEMA, SAU, TLP, APPT - Maendeleo, ADC pamoja na DP. Leo hii vyama husika tena vimeanza kugawanyika, mfano juzi tu Mwenyekiti wa Taifa wa NCCR- Mageuzi alibadilikiwa alipotembelea Mtwara na kutoeleweka, huku wao ndo walioanzisha Parade.

Mimi siamini kama wanamtwara ndo waliandaa maandamano yale huku awali vyama vyote tajwa vilisikika vikiandaa maandamano yale. Kwa wasiojua mambo ya ajira Mtwara, kutoka kwa wawekezaji ni hivi kwa nafasi za kawaida; Kama unaajiri wafanyakazi kwa fani ambazo Wanamtwara wanaziweza lazima uajiri Mtwara au kama utaona sivyo unaleta waajiriwa wapya kutoka mikoani idadi sawa unayotarajia kuajiri Mtwara kisha unawachukuwa wengine kutoka Mtwara(Wazawa) na kuwapeleka Mikoani unakotaka wewe.

Kwa maana nyepesi wanabadilishana kwa idadi sawa. Huu mfumo umekuwepo muda mrefu hapa Mtwara, ni kweli kila mtu hupenda kuvutia kwake lakini si kama ilivyochukuliwa na vyama vya kisiasa hadi kuja na watu kutoka Mikoani kwaajili ya kuongeza idadi. Kiongozi wa kwanza kutuhamasisha hapa Mtwara kuhoji mambo ya gesi alikuwa Zitto ngawaje siku hizi amejiweka pembeni kidogo, tuanamsikia kwenye mitandao tu najua ni mambo ya kisiasa.

Kwa yule atakae bisha atueleze ni lini tulihamasishana kuhusu maandamano tofauti na vyama?. Ukibisha sana ntantumia ishale; Ukikaa ishale, ukichimama nchale, ukilala nchale, ukimung'unya nchale, ukikimbia nchale na ukichuchumaa nchale. Ntwara tunaipenda serikali ije tuongee tumalize tofauti zilizopandwa na vyama vya kisiasa, chacha chichi ntaka ntule wapi?

hivi hii kauli umewahi kuisikia ''gesi kwanza vyama baadae''
 
acha propaganda zako wewe ni nani kuongea kwa niaba ya wana mtwara wote. au ndio Nape kakutuma? hatudanganyiki ng'o na upuuzi wako
 
Back
Top Bottom