Nyie wenyewe hamjipend Sasa nani asiwadharau?Tanzania Wilaya ya Uyui Waalimu tunanyasika sana sijui tatizo nini? Tulikuwa kwenye semina ya mtaala mpya daaa h full vitisho maneno ya kukatishana tammaaaa. Posho hazieleweki za semina yenyewe mnaishia kupewa maji makubwa.
Hii wilaya ina shida serikaki iangalie kwa jicho la pekeee ni wilaya ambayo mpaka sasa haijalipa nauli za likizo tangu mwezi wa 11.
Waziri itupie macho wilaya hii.
Uyui huko si ndio nyumbani kwa CCM?Tanzania Wilaya ya Uyui Waalimu tunanyasika sana sijui tatizo nini? Tulikuwa kwenye semina ya mtaala mpya daaa h full vitisho maneno ya kukatishana tammaaaa. Posho hazieleweki za semina yenyewe mnaishia kupewa maji makubwa.
Hii wilaya ina shida serikaki iangalie kwa jicho la pekeee ni wilaya ambayo mpaka sasa haijalipa nauli za likizo tangu mwezi wa 11.
Waziri itupie macho wilaya hii.
Uyui huko si ndio nyumbani kwa CCM?
hii wilaya kuna shida sehemuSubirini akija Makonda muwasemee hao wahusika.
Duh huu uandishi utaacha kudharaulika kweli? Bila shaka hapo umekamatia Kishikwambi unabarizi 😃Tanzania Wilaya ya Uyui Waalimu tunanyasika sana sijui tatizo nini? Tulikuwa kwenye semina ya mtaala mpya daaa h full vitisho maneno ya kukatishana tammaaaa. Posho hazieleweki za semina yenyewe mnaishia kupewa maji makubwa.
Hii wilaya ina shida serikaki iangalie kwa jicho la pekeee ni wilaya ambayo mpaka sasa haijalipa nauli za likizo tangu mwezi wa 11.
Waziri itupie macho wilaya hii.
Wakati nyie wanawapa maji wenyewe wamejiandikia posho za malaki na malaki CWT sio msaada kabisa maana hayo ndio mambo wanatakiwa kuwasimamia walimuTanzania Wilaya ya Uyui Waalimu tunanyasika sana sijui tatizo nini? Tulikuwa kwenye semina ya mtaala mpya daaa h full vitisho maneno ya kukatishana tammaaaa. Posho hazieleweki za semina yenyewe mnaishia kupewa maji makubwa.
Hii wilaya ina shida serikaki iangalie kwa jicho la pekeee ni wilaya ambayo mpaka sasa haijalipa nauli za likizo tangu mwezi wa 11.
Waziri itupie macho wilaya hii.
umaskini ndugu yanguUalimu sio kazi ya kufanya kwenye huu ulimwengu wa tatu basi tu umaskini watu hawawezi kuchomoka huko na hii ndio fimbo kubwa ya kuwachapia.
Ualimu ni umaskini, unyonge na kukosa uthubutu
lipa nauli za likizo mkuu vinginevyoDuh huu uandishi utaacha kudharaulika kweli? Bila shaka hapo umekamatia Kishikwambi unabarizi 😃
bado hujasema😅Tanzania Wilaya ya Uyui Waalimu tunanyasika sana sijui tatizo nini? Tulikuwa kwenye semina ya mtaala mpya daaa h full vitisho maneno ya kukatishana tammaaaa. Posho hazieleweki za semina yenyewe mnaishia kupewa maji makubwa.
Hii wilaya ina shida serikaki iangalie kwa jicho la pekeee ni wilaya ambayo mpaka sasa haijalipa nauli za likizo tangu mwezi wa 11.
Waziri itupie macho wilaya hii.
Chama cha walimu mavi kabisa sio chama cha kutetea walimu hichoTunaua Elimu yetu Kwa kutikuwajali walimu.
Uchaguzi u karibu, onyesheni hasira zenu huko, pia walimu mna HAKI kisheria kugoma kupitia chama chenu Cha wafanyakazi, tumieni njia huyo kukata minyororo iliyowafunga.
Tatizo mnakataa kujitambua..Tanzania Wilaya ya Uyui Waalimu tunanyasika sana sijui tatizo nini? Tulikuwa kwenye semina ya mtaala mpya daaa h full vitisho maneno ya kukatishana tammaaaa. Posho hazieleweki za semina yenyewe mnaishia kupewa maji makubwa.
Hii wilaya ina shida serikaki iangalie kwa jicho la pekeee ni wilaya ambayo mpaka sasa haijalipa nauli za likizo tangu mwezi wa 11.
Waziri itupie macho wilaya hii.