Ndachuwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 6,269
- 4,569
Utakuwa wa CBE wewe. Ingia www.vabusiness.co.tz ndiyo mimiWewe ni HR tu,huwezi jua mambo ya kwenye field ya kozi nyingine,ndiyo maana kwenye interview,Mara nyingi Head of Department au Manager ndiyo hua wanauliza maswali ya field yao,technical questions, na ndiyo mwenye uamuzi wakupendekeza nani achukuliwe! HR unajua IAS number 1 hadi 40 huko zinasemaje?? HR ni intro na kwenye benefit tu!!
Tusipende kua wajuaji wa kila jambo!!