Carica_papaya
JF-Expert Member
- Nov 22, 2018
- 758
- 1,232
Ni muda muafaka kwa Waajiri na Makampuni binafsi kutoa mrejesho kwa Wanafunzi wa Vyuo gani Wanafanya Vizuri katika Maeneo yao ya kazi. Pia tunaomba watoe mrejesho ni maeneo gani ambayo yana upungufu mkubwa wa Wataalam wa Fani husika.
Nikimaanisha kuna Position inabidi Human Resource Officers kutumia muda mwingi kurudia kutangaza Ajira ya nafasi husika kwa kukosa Watu wenye sifa sahihi (Job employment Re-advertisement)
Nchi za wenzetu feedback kama hizi huvisaidia Vyuo ku-restructure baadhi ya Course zao ili kuendana na matakwa ya Soko la ajira.
Toa Maoni yako chuo bora kwa Kupika Wanatahiniwa katika Fani zifuatazo:
1. Usafirishaji (Anga na nchi Kavu)
2. Biashara
3. Fedha, Benki na Bima
4. Uhandisi (Civil, Chemical, Electrical, Machenical. etc)
5. Afya (Udaktari, Uuguzi, Maabara)
6. Utawala (Public Admistration, Human Resources)
7. Mawasiliano (ICT & Telecom)
8. Kilimo na Mifugo ( Veterinary Medicine, Animal Health, Food science, Agriculture)
8. Madini (Geology)
9. Utawala katika Afya (Public Health)
10. Mipango
11. Usafiri (Maji)
12. Uandishi wa Habari na Mahusiano
13. Ualimu (Sanaa)
14. Sayansi ya Siasa
15. Ualimu (Sayansi)
16. Sheria
17. Social Work
18. Uchumi
Nikimaanisha kuna Position inabidi Human Resource Officers kutumia muda mwingi kurudia kutangaza Ajira ya nafasi husika kwa kukosa Watu wenye sifa sahihi (Job employment Re-advertisement)
Nchi za wenzetu feedback kama hizi huvisaidia Vyuo ku-restructure baadhi ya Course zao ili kuendana na matakwa ya Soko la ajira.
Toa Maoni yako chuo bora kwa Kupika Wanatahiniwa katika Fani zifuatazo:
1. Usafirishaji (Anga na nchi Kavu)
2. Biashara
3. Fedha, Benki na Bima
4. Uhandisi (Civil, Chemical, Electrical, Machenical. etc)
5. Afya (Udaktari, Uuguzi, Maabara)
6. Utawala (Public Admistration, Human Resources)
7. Mawasiliano (ICT & Telecom)
8. Kilimo na Mifugo ( Veterinary Medicine, Animal Health, Food science, Agriculture)
8. Madini (Geology)
9. Utawala katika Afya (Public Health)
10. Mipango
11. Usafiri (Maji)
12. Uandishi wa Habari na Mahusiano
13. Ualimu (Sanaa)
14. Sayansi ya Siasa
15. Ualimu (Sayansi)
16. Sheria
17. Social Work
18. Uchumi