Waajiri muwe na huruma jamani

Waajiri muwe na huruma jamani

JONASON

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2014
Posts
461
Reaction score
706
Habari ndugu zangu .Kwanza nianze kwa mikasa iliyonikumba mimi ni kijana ambae nimemaliza chuo miaka mitatu nyuma na katika kusaka ajira mara nyingi nimehudhuria usaili sehemu mbali mbali kinachoniuma ni kwamba mimi natoka mkoan na mjini sikua na ndugu huwa nafikia katika nyumba za wagen sasa unakuta umefanya usaili wa kuandika (written interview) mnaambiwa tutawatumia ujumbe sasa unakaa kusubir oral hupat muongozo wowote .Ni bora wawe wanatoa matokeo ya jumla hata katika mtandao ili ujue kama haujafika viwango vyao urudi.Wiki hii nimekuja dsm katka usail wa kampun moja sasa nimefikia gest nimefanya written tukaambiwa tuandike namba za simu mpaka sasa kimya na kila aliefanya hana taarifa yoyote hivyo nashukuru jana baada ya kuishiwa fedha nilitimuliwa gesti nikatoka nikawa natembea tembea mitaani nikakutana na dogo mmoja tulisoma nae shule ya msingi ila nilimuacha madarasa akanipokea mpaka geto kwake akasema nitalala tu ila msosi nijitegemee ..Dahh!! Najuta laki moja yangu niliyoipata kwa kuuza mihogo imeisha kwa safar isiyoeleweka...Basi tunaomba waajir tukija katka usaili ni vema zoezi lisichukue muda mrefu na pia mtu atambue kwamba anaendelea na hatua nyingine ya usaili au arudi kufanya mambo mengine maana tunatumia muda na fedha pia tuwe na huruma jamani tuweke ubinadamu mbele jamani ..Naongea nikiwa muhanga wa hilo suala.
 
Kwahiyo bado umelala kwa huyo dogo na ilikuwaje ukataka kung'ang'ania guest wakati hela huna
 
Pole sana mkuu.....
Ila toa mawazo ya kupata ajira mkuu, ile laki uliouza miongo ungeweza tafuta namba ya kuizungusha.....
 
Pol San br ila ongeza ukarb na watu, namanisha kma ungekua nandug au rafiki umeshukia kwake ungefany yako chap ile laki nachenji ingebaki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom