Waafrika weusi ni 15% tu ya idadi ya watu duniani, ni ushenzi kusema tuna overpopulation!

Waafrica hatupendi kufanya kazi halafu tunapenda kuzaliana, halafu misaada tunawatengemea wazungu wacha tu watumalize, kwanza Waafrica sioni kama tuna faidi sana sana ss ni mizingo tu
Race zote zimetokea africa, we are a precious pool of genomic diversity, very indispensable. Ignorant.. self hater!
 
Bwabwa jasiri wewe! Tunazungumza kuhusu kilimo cha kisasa cha large scale farming, wewe unazungumza kuhusu mapori ya kulima kwa jembe la mkono? Are you serious! ?

Huo ndio uchumi aliokufundisha mama'ko?
Wapi nimeandika ukalime jembe la mkono, au unapost huku umekalia kitu kigumu?
 
Na balaa la ukimwi walilotuletea na magonjwa mengine ya kuleta, lazima tutafikia asilimia 2 na hapo ndio tutageuka vivutio vya utalii al maarufu kama endangered species!
 
Na balaa la ukimwi walilotuletea na magonjwa mengine ya kuleta, lazima tutafikia asilimia 2 na hapo ndio tutageuka vivutio vya utalii al maarufu kama endangered species!
Ni kama Aborigines kue Australia, wameaki wachache kama Faru mweupe na wanalindwa kama 'endangered species', ila walianza kupunguzwa huko Australia kidogo kidogo kama masikhara vile kuja kushutuka ni wamabaki 100 sijui, kama Red Indians huko North America.
 
Hapa naona kama wanatung'ata kisha wanapuliza kutufariji kuwa siai ni chanzo cha humanity.
Wamekudanganya na wewe umeamini ujinga.
Genetic mapping ya genome za race zote duniani zimeweza kuwa traced back to East Africa in particular, weupe n igenetic mutation waliyoipata baada ya kwenda sehemu zenye baridi nje ya Africa, ila binadamu waote walitokea Africa, na most likely walikuwa weusi, mdio maana mtu mweusi akizaa na race nyingine yeyote ile mtoto anatoka very robust na anathrive vizuri sana, wenyewe tunaita point 5, kama ni msichana anatoka mzuri sana , kama ni wa kiume anatoka poa sana. Ila changanya lets say mchina na mhindi uone balaa lake
 
Achana na walichosema wengine, sema wewe, hao nitawajibu kwa nafasi yao, ongea wewe hoja yako.
Kumbe wewe mpuuzi mkubwa, mbona unatukana kila mahali. sasa nitakutukana nifungiwe, potelea mbali! Kwanini usiwe na adabu. angalia kila mmoja anakushushua !
 
Tumia walau hata 1% ya uwezo wako kufikiri tu, wazungu wangetaka kuwamaliza ingekuwa simple sana na wasingetumia hizo njia ndeefu za kuwahimiza mtumie uzazi wa mpango

Mnaagiza, nguo, dawa, vinywaji kama cocacola, sijui maji, juice, kutoka kwa wazungu, mkikumbwa na janga wazungu ndio wanawapa dawa na vyakula, sasa wazungu wangeamua kuweka kemikali zinazoua taratibu na au kuondoa uwezo wa kuzaa wasingeweza?

Vifaa vya umeme, ujenzi, magari, mafuta, vifaa vya jikoni n.k wangeamua kuviwekea hata kemikali zinazoua taratibu au kuharibu vizazi wasingeweza?

Hitler aliua wayahudi milioni 6 miaka ya 1940s, kwa kutumia sumu, silaha na njaa hivi wazungu wangetaka kuuwa Waafrika kipindi kile wanawatawala wasingeweza?


Mpo overpopulated kwa sababu hamuwezi kujilisha, mnaharibu vyanzo vya maji ,misitu, masalia ya samaki, hamuwezi kulima kilimo chenye tija, kila mwaka ikitokea ukame kidogo tu mnakufa kama kumbikumbi sababu mnategemea mvua hadi karne hii..! Kenya hapo mvua imekata kunyesha kidogo tu watu wanakufa tayari, likitokea janga kidogo mpaka wazungu waje wawasaidie

mfano nisaada ambayo mnapewa na wazungu kwenye kila janga kimbunga hapo msumbiji, malawi na zimbabwe, janga la ebola hapo DRC, na Afrika magharibi, Malaria mnapewa misaada ya dawa, UKIMWI ndio nyie mnaongoza mnapewa misaada ya ARV na Condom, Miji yenu hamuwezi kuipangilia, Hamna mifumo mizuri ya maji taka na maji safi, mpaka mje muwekewe na wazungu au wachina, milipuko ya kipindupindu haiishi

Wazungu unawaita mashetani ila kama sio hao wazungu pengine Ukimwi, njaa, ebola, na malaria zingekwishawamaliza nyie WATU WEUSI


Vijana wenu wanajitoa mhanaga ili tu wafike Ulaya au Uarabuni kufanya kazi za ndani

Yaani Waafrika hamuwezi kujiendesha na kujisimamia wenyewe kwa mpangilio mzuri mkiwa wachache kiasi hiki, mkizaliana na kujilimbikiza si ndio itakuwa balaa kabisa?

Mnapikia mkaa manakata miti yenu kwa kasi ya ajabu kiasi kwamba ndani ya miaka 50 ijayo mnaweza mkawa mmeimaliza, na vyanzo vya maji kukauka, hamuwaonei huruma hao watoto mtakao wazaa watakavyoteseka? Au unafikiri watazamia Ulaya na watapokelewa?

hamuwezi kutengeneza bidhaa zozozte zile, viwanda vya maana kwenye nchi zenu vinaendeshwa na na wahindi au waarabu vingine vyote mnaotoa China ama Ulaya

Inafaa mzaliane kwa uangalifu mpaye watoto mtakaoweza kuwapa huduma bora za afya, chakula, malezi na elimu bora,
Pengine wakiwa na elimu bora wataweza kujimudu zaidi kuliko kizazi cha sasa
Big up mkuu!

Hawa ndo wasomi wetu,matatizo yao kukimbilia wa kumlaumu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwe una fikiri kabla hata ya kuanza lawama hauna uwezo wa kuishi bila kisaidiwa shwaini we. Mnalishwa eee muongezeke tu si mtaishia kuishi kama minyani mrudi maporini. Hujawahi kufanya jambo lolote la maana aridhi ya rutuba inapungua joto linaongezeka mtajifia tu. Maradhi mapya ni kwenu tu unachosema ni ujinga kuoverpower wazungu na mkiwamaliza mtaishije. Kuna wajinga furani wanaenda ulaya kuwafanyia fujo huku vimafita vyao bila wale nani atavinunua
Juhudu kubwa zimekuwa zikifanywa na mataifa ya magharibi kuhakikisha idadi ya waAfrika weusi inabaki kuwa minority na hivyo oppressed zaidi duniani. Hili limefanyika kwa kusambaza magonjwa ya kuua watu wengi kwa mpigo kama 'Ebola', 'ARV na Ukimwi' , 'Uzazi wa mpango' ambo huwa unafadhiliwa sana na wamarekani kwa kuanzisha mashirika yanayogonga hodi nyumba hadi nyumba na kuwanywesha vidonge akina mama na akina dada kwa kuwalaghai, inafikia hatua wale wadada wanaozunguka hulipwa bonus pale wanapofanikiwa kuwanywesha vidonge vya uzazi akina mama wengi, kuna mmoja alipewa zawadi ya IST baada ya kufanikwa kutembelea nyunba 2,000 na kufanikiwa kuwashawishi akina mama wengi mno kufunga vizazi.

Sasa sielewi haya mashirika yanaruhusiwa vipi na mamlaka zetu kuja huku kwetu Afrika eti kuendesha kampeni za kufunga vizazi kwa wanaume na wanawake, tena wanatumia matrilioni kufanikisha lengo lao.

Kule South Africa kuna afisa wa kikaburu enzi za apartheid alikiri hapa majuzi kwamba walifanya juhudi kubwa kuhakikisha watu weupe wanakuwa wengi south Africa kuliko weusi lakini walishindwa kutokana na watu weusi kupenda sana ngono, hivyo wakaamua kusambaza Ukimwi kwa makusudi ili watu waache kufanya ngono bila condom na hivyo kupata mimba kwa wingi, pia walitumia chanjo feki zenye kemikali za kuua viungo vya uzazi kwa wanaume na wanawake ili wasiweze kushika mimba, lakini bado haikutosha, wasauzi weusi waliendelea kufyatua tu kwa spidi, hadi ilipofika 1994 wakasalimu amri kwa dushe la kiafrika.
Naomba tusikubali kumalizwa kizembe , tufyatue kwa kasi, waAfrika weusi tupo wachache sana hapa duniani, ni less than 15% ya population ya dunia, tumedanganywa kwa tuna overpopulation lakini hakuna kitu kama hicho, ni hila za shetani mweupe!

Kule Australia walianza kama utani hivi hivi, kulikuwa na watu weusi wazawa walikuwa wanitwa Aborigines, ambao walikuwa wameishi huko Australia kwa malaki na malaki ya miaka, lakini ndani ya miaka 150 tu waingereza waliendesha hila kama hizi za kuwaangamiza ili waweze kuingiza kizazi cha wazungu kule Australia, basi walikuwa wanalipa dollar 5 kwa kila kichwa cha Aborigine utakacho kipeleka ofisi ya exterminator, basi waliuawa na kumalizwa hadi leo hawapo kabisa, same case iliwatokea Red Indians huko USA, walianza kama utani hawa wazungu, mwishowe Red indians wamebaki historia, Waafrika tusikubali kumalizwa kama Aborigines na Red Indians, tena yaan sisi tuna bahati tu kwa sababu tunapenda sana ngono, ila tungekuwa wavivu kama WaJapan leo hii tungeshabaki historia..!!!

Kule Rwanda mbelgiji alipandikiza chuki ya kikabila na kuchochea mauaji ya kimbari, kila mahali wanapandikiza na chuki za kidini na kuleta mapigano ya wenyewe kwa wenyewe na kutuacha tuna malizana kwenye civil wars za kijinga kabisa...!!! Tusiingie kwenye hii mitego.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulaya ndiyo said na hasa wazungu. Mpaka wameanzosha IVF sasa has wa ulaya naomi wanauliwa taratibu? Mimi nadhani ni mfano wa maisha utakavyoamua kuishi vipi, na ule vipu
Jinga kweli wewe, hujiulizi kwanini miaka ya sitini tu hapo mwanamke alikuwa akizaa watoto wachache basi ni watoto 12, mimi mwenyewe baba yangu ni mtoto wa 11 kati ya watoto 12 tena bila operesheni na kajifungulia nyumbani, wote walizaliwa salama! sasa nionyeshe ni wamama wangapileo hii wanauwezo wa kuzaa kama hivyo, kushika hata mimba moja tu hadi mkatapeliwa kwa dokta mwaka na kwa Mwingira, na tena kuzaa ni kwa operesheni, we huoni kuna vitu ambavyo tayari tunalishwa kidogo kidogo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The whole point ya kukupa wewe njia za uzazi wa mpango sio kuwa tupo overpopulated, point ni kuwa uweze ku control idadi ya watoto wako utakaozaa, ukishindwa ku control idadi ya watoto utakaozaa ina maana hata maisha yako utashindwa kuya control,

Sasa mzungu anakupa means za ku control idadi ya watoto, unaanza kuwatukana eti sijui wanataka kuwamaliza, Dah mtu mweusi ni kuwaza shari tu
Mimi nimeduwaa tu hapa.. naona facts vs opinions

Hao wazungu wanazaliana kwa kiasi gani na je uchumi wao upo kwa kiasi gani???....

Huwezi kuwa na uchumi unaokua kwa asilimia 7 halafu mkazaliana kwa asilimia 5 per year na mkategemea kuhisi lile ongezeko...

Truth is Waafrika tunazaliana hovyo bila mpangilio ndio maana tunakuwa na unproductive population.. Wazungu wanachofanya ni kuwa na controlled population ilhali ni productive..

Human development index yenyewe tunatia aibu.mortaliry rate ipo high na bado kuna mtu anadhani kuzaliana ni solution..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je ni sahihi kuzaa watoto kumi na unaweza kuwahudumia wawili? Kisa tu uzazi wa mpango umekuwa introduced na wazungu?!
na mimi nikuulize, ni makosa kuzaa watoto kumi?. kuna uhusiano gani wa kuzaa watoto kumi na kuwahudumia?.
ukijibu bila mihemuko au emotions nitarudi kujibu swali lako.
 
Kumbe wewe mpuuzi mkubwa, mbona unatukana kila mahali. sasa nitakutukana nifungiwe, potelea mbali! Kwanini usiwe na adabu. angalia kila mmoja anakushushua !
Hoja iko wapi hapo sasa, halafu achana na wengine kinishushua, hao nitawajiu kwa nafasi yao, leta wewe hoja yako
 
Family moja huko Western Europe ilikuwa matatani baada ya kupata mtoto mweusi ihali wao ni wazungu, dna ime prove ni mtoto wao, madoctor waliieleza family hio kuwa pengine ni zaidi ya 5 generation waliowana between African and western.

Mungu mkubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumia walau hata 1% ya uwezo wako kufikiri tu, wazungu wangetaka kuwamaliza ingekuwa simple sana na wasingetumia hizo njia ndeefu za kuwahimiza mtumie uzazi wa mpango

Mnaagiza, nguo, dawa, vinywaji kama cocacola, sijui maji, juice, kutoka kwa wazungu, mkikumbwa na janga wazungu ndio wanawapa dawa na vyakula, sasa wazungu wangeamua kuweka kemikali zinazoua taratibu na au kuondoa uwezo wa kuzaa wasingeweza?

Vifaa vya umeme, ujenzi, magari, mafuta, vifaa vya jikoni n.k wangeamua kuviwekea hata kemikali zinazoua taratibu au kuharibu vizazi wasingeweza?

Hitler aliua wayahudi milioni 6 miaka ya 1940s, kwa kutumia sumu, silaha na njaa hivi wazungu wangetaka kuuwa Waafrika kipindi kile wanawatawala wasingeweza?


Mpo overpopulated kwa sababu hamuwezi kujilisha, mnaharibu vyanzo vya maji ,misitu, masalia ya samaki, hamuwezi kulima kilimo chenye tija, kila mwaka ikitokea ukame kidogo tu mnakufa kama kumbikumbi sababu mnategemea mvua hadi karne hii..! Kenya hapo mvua imekata kunyesha kidogo tu watu wanakufa tayari, likitokea janga kidogo mpaka wazungu waje wawasaidie

mfano nisaada ambayo mnapewa na wazungu kwenye kila janga kimbunga hapo msumbiji, malawi na zimbabwe, janga la ebola hapo DRC, na Afrika magharibi, Malaria mnapewa misaada ya dawa, UKIMWI ndio nyie mnaongoza mnapewa misaada ya ARV na Condom, Miji yenu hamuwezi kuipangilia, Hamna mifumo mizuri ya maji taka na maji safi, mpaka mje muwekewe na wazungu au wachina, milipuko ya kipindupindu haiishi

Wazungu unawaita mashetani ila kama sio hao wazungu pengine Ukimwi, njaa, ebola, na malaria zingekwishawamaliza nyie WATU WEUSI


Vijana wenu wanajitoa mhanaga ili tu wafike Ulaya au Uarabuni kufanya kazi za ndani

Yaani Waafrika hamuwezi kujiendesha na kujisimamia wenyewe kwa mpangilio mzuri mkiwa wachache kiasi hiki, mkizaliana na kujilimbikiza si ndio itakuwa balaa kabisa?

Mnapikia mkaa manakata miti yenu kwa kasi ya ajabu kiasi kwamba ndani ya miaka 50 ijayo mnaweza mkawa mmeimaliza, na vyanzo vya maji kukauka, hamuwaonei huruma hao watoto mtakao wazaa watakavyoteseka? Au unafikiri watazamia Ulaya na watapokelewa?

hamuwezi kutengeneza bidhaa zozozte zile, viwanda vya maana kwenye nchi zenu vinaendeshwa na na wahindi au waarabu vingine vyote mnaotoa China ama Ulaya

Inafaa mzaliane kwa uangalifu mpaye watoto mtakaoweza kuwapa huduma bora za afya, chakula, malezi na elimu bora,
Pengine wakiwa na elimu bora wataweza kujimudu zaidi kuliko kizazi cha sasa
Beberu umetema Cheche na mabeberu wenzako wamekupa like

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumia walau hata 1% ya uwezo wako kufikiri tu, wazungu wangetaka kuwamaliza ingekuwa simple sana na wasingetumia hizo njia ndeefu za kuwahimiza mtumie uzazi wa mpango

Mnaagiza, nguo, dawa, vinywaji kama cocacola, sijui maji, juice, kutoka kwa wazungu, mkikumbwa na janga wazungu ndio wanawapa dawa na vyakula, sasa wazungu wangeamua kuweka kemikali zinazoua taratibu na au kuondoa uwezo wa kuzaa wasingeweza?

Vifaa vya umeme, ujenzi, magari, mafuta, vifaa vya jikoni n.k wangeamua kuviwekea hata kemikali zinazoua taratibu au kuharibu vizazi wasingeweza?

Hitler aliua wayahudi milioni 6 miaka ya 1940s, kwa kutumia sumu, silaha na njaa hivi wazungu wangetaka kuuwa Waafrika kipindi kile wanawatawala wasingeweza?


Mpo overpopulated kwa sababu hamuwezi kujilisha, mnaharibu vyanzo vya maji ,misitu, masalia ya samaki, hamuwezi kulima kilimo chenye tija, kila mwaka ikitokea ukame kidogo tu mnakufa kama kumbikumbi sababu mnategemea mvua hadi karne hii..! Kenya hapo mvua imekata kunyesha kidogo tu watu wanakufa tayari, likitokea janga kidogo mpaka wazungu waje wawasaidie

mfano nisaada ambayo mnapewa na wazungu kwenye kila janga kimbunga hapo msumbiji, malawi na zimbabwe, janga la ebola hapo DRC, na Afrika magharibi, Malaria mnapewa misaada ya dawa, UKIMWI ndio nyie mnaongoza mnapewa misaada ya ARV na Condom, Miji yenu hamuwezi kuipangilia, Hamna mifumo mizuri ya maji taka na maji safi, mpaka mje muwekewe na wazungu au wachina, milipuko ya kipindupindu haiishi

Wazungu unawaita mashetani ila kama sio hao wazungu pengine Ukimwi, njaa, ebola, na malaria zingekwishawamaliza nyie WATU WEUSI


Vijana wenu wanajitoa mhanaga ili tu wafike Ulaya au Uarabuni kufanya kazi za ndani

Yaani Waafrika hamuwezi kujiendesha na kujisimamia wenyewe kwa mpangilio mzuri mkiwa wachache kiasi hiki, mkizaliana na kujilimbikiza si ndio itakuwa balaa kabisa?

Mnapikia mkaa manakata miti yenu kwa kasi ya ajabu kiasi kwamba ndani ya miaka 50 ijayo mnaweza mkawa mmeimaliza, na vyanzo vya maji kukauka, hamuwaonei huruma hao watoto mtakao wazaa watakavyoteseka? Au unafikiri watazamia Ulaya na watapokelewa?

hamuwezi kutengeneza bidhaa zozozte zile, viwanda vya maana kwenye nchi zenu vinaendeshwa na na wahindi au waarabu vingine vyote mnaotoa China ama Ulaya

Inafaa mzaliane kwa uangalifu mpaye watoto mtakaoweza kuwapa huduma bora za afya, chakula, malezi na elimu bora,
Pengine wakiwa na elimu bora wataweza kujimudu zaidi kuliko kizazi cha sasa
Mkuu umeniliza machozi kbs kwa kweli, tumelaaniwa sisi Waafrika kbs

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom