FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,066
- 40,725
- Thread starter
- #41
Wewe umevuta bangi? Kwahiyo mimi nikiwa na plot ya 5 x 5 Masaki utasema Masaki ina overpopulation?Overpopulation maumivu yake ni at individual level! Unapokuwa na kiwanja cha 15x15 huwezi kusema all my neighbours are feeling the same pinch as yours! Wewe mwenye ka kiwanja kadogo pinch ni ya kwako peke yako! Wengine wanatanua na viwanja vyao. Tunaangalia individual country... first . hayo ya spill over effects ni baadaye !
Akili fupi, wanashidwa kuweka kwenye Coca cola ambayo inanywewa Africa nzima. dawa zote zinatoka kwao, wanashindwaje kuweka humo kwenye hizo tablets... nguo, etc
Jiulize weusi mkipungua wanapata hasara au faida gani. Inabidi muongezeke wapate soko la bodhaa zao, kwanini wawapunguze?