Waafrika wawaunge mkono Wachagga ili wawe (kwa unyenyekevu) moja ya vinara Afrika, na kwenye diaspora ya watu weusi duniani, mwaka 2040

z12f

JF-Expert Member
Dec 4, 2017
638
463
1) Wachagga wapunguze madhambi. Waimarike zaidi kiroho. Baadhi yao wajishughulishe kwenye shughuli za kichungaji.

2) Wasome vizuri. Kima cha chini cha elimu kwa mchagga mwenye uwezo kiwe Form Six.

3) Wachagga wengi wasome Bachelors, Masters na PhD. Na wengine wawe maprofesa.

4) Wasiwe materialistic. Wajue kwamba kwenye maisha kuna kuyumba. So wasi wanyanyapae wenzao wanao yumba kimaisha kama wana sababu zinazoeleweka.

5) Waanzishe makampuni mengi yenye mafanikio, na NGO nyingi zenye mafanikio.

6) Wawe na afya nzuri. Wafanye mazoezi na pia wale chakula kizuri chenye mboga mboga na matunda.

7) Wawe na ujuzi wa mambo ya uongozi, ukurugenzi na menejimenti kwenye sekta binafsi na sekta ya umma.

8) Wawe na ujuzi wa mambo ya ulinzi na usalama, kwenye sekta binafsi na sekta ya umma.

9) Wawe na ujuzi wa mambo ya kidiplomasia.

10) Wapunguze kunywa pombe. Wa avoid kutumia kisusio.

11) Waishi kwenye mikoa ambayo watanufaika kiuchumi na kimaisha.

12) Waishi kwenye nchi ambazo watanufaika kiuchumi na kimaisha.

13) Wafanye shughuli ambazo zita wanufaisha kiuchumi na kimaisha, au na zita isaidia jamii.

14) Wawe kwenye tasnia ya habari ndani na nje ya nchi.

15) Wawe na magroup ya whatsapp ya kiukoo. Wawe kwenye social media zenye tija kama LinkedIn na Twitter.

16) Wajitayarishe kuoa mke mwema na kuolewa na mume mwema mapema. Umri unao faa kuoa/kuolewa ni 30 – 40 years. Wajenge familia bora zinazompenda Mungu na kupendana.

17) Waendelee kuishi vizuri na majirani zao, na jamii kwa ujumla.

18) Wananchi wawaunge mkono wachagga na waendelee kuwapenda.

19) Serikali iwaunge mkono wachagga.

20) Makabila mengine ya kiafrika yenye uwezo wa kuwa vinara yajitahidi kuwa vinara kwa unyenyekevu.

21) Wachagga wawe Wakristo wazuri, wanaoshika amri za Mungu na imani ya Bwana Yahushua Mashiach.

NB: Haya maoni yameletwa na mtoa mada. Hayajaletwa na kabila.
 
Badala ya kuzungumzia Taifa la Tanzania, wewe unakuja na mambo ya Wachagga. Mtoa mada kwa nini usijikite ktk issue za kitaifa badala ya hizi za kikabila ambazo umejielekeza? Kwani Mchagga ana nini cha zaidi ya makabila mengine nchini hata aonekane kuwa ni wa kipekee. Nashauri tusimame kama taifa moja zaidi ya ukabila, itikadi, dini na mengine kama hayo.
 
[QUOTE=.@Mtupia uzi naye ni Great Thinker! Tumewaachia sasa tumefika huko kupost upupu
 
1) Wachagga wapunguze madhambi. Waimarike zaidi kiroho. Baadhi yao wajishughulishe kwenye shughuli za kichungaji.

2) Wasome vizuri. Kima cha chini cha elimu kwa mchagga mwenye uwezo kiwe Form Six.

3) Wachagga wengi wasome Bachelors, Masters na PhD. Na wengine wawe maprofesa.

4) Wasiwe materialistic. Wajue kwamba kwenye maisha kuna kuyumba. So wasi wanyanyapae wenzao wanao yumba kimaisha kama wana sababu zinazoeleweka.

5) Waanzishe makampuni mengi yenye mafanikio, na NGO nyingi zenye mafanikio.

6) Wawe na afya nzuri. Wafanye mazoezi na pia wale chakula kizuri chenye mboga mboga na matunda.

7) Wawe na ujuzi wa mambo ya uongozi, ukurugenzi na menejimenti kwenye sekta binafsi na sekta ya umma.

8) Wawe na ujuzi wa mambo ya ulinzi na usalama, kwenye sekta binafsi na sekta ya umma.

9) Wawe na ujuzi wa mambo ya kidiplomasia.

10) Wapunguze kunywa pombe. Wa avoid kutumia kisusio.

11) Waishi kwenye mikoa ambayo watanufaika kiuchumi na kimaisha.

12) Waishi kwenye nchi ambazo watanufaika kiuchumi na kimaisha.

13) Wafanye shughuli ambazo zita wanufaisha kiuchumi na kimaisha, au na zita isaidia jamii.

14) Wawe kwenye tasnia ya habari ndani na nje ya nchi.

15) Wawe na magroup ya whatsapp ya kiukoo. Wawe kwenye social media zenye tija kama LinkedIn na Twitter.

16) Wajitayarishe kuoa mke mwema na kuolewa na mume mwema mapema. Umri unao faa kuoa/kuolewa ni 30 – 40 years. Wajenge familia bora zinazompenda Mungu na kupendana.

17) Waendelee kuishi vizuri na majirani zao, na jamii kwa ujumla.

18) Wananchi wawaunge mkono wachagga na waendelee kuwapenda.

19) Serikali iwaunge mkono wachagga.

20) Makabila mengine ya kiafrika yenye uwezo wa kuwa vinara yajitahidi kuwa vinara kwa unyenyekevu.

21) Wachagga wawe Wakristo wazuri, wanaoshika amri za Mungu na imani ya Bwana Yahushua Mashiach.
Logic ya hii post bado siioni.I am sorry.
 
Namaanisha Watu wanaotoa threads Kama hizi na si wachagga Kama unavyofikiria wewe

Alieweka uzi ni mtu mmoja. Sasa tangu lini mtu mmoja akawa addressed kama " hawa watu"? Kukuuliza nimekusaidia ili kuondoa mkanganyiko, ueleweke. Si vinginevyo.

Pili, nimetaka ufafanuzi kama ulimaanisha wachagga au alieweka bandiko. Kwa nini unadhani "nilifikiria" unamaanisha wachagga na si alieweka bandiko? Una akili nyingi sasa angalia zisikuondolee maarifa mkuu...
 
Point nzuri. Ila ukisema taifa saa nyingine watu wanaona kama haiwa husu. Halafu it is an indirect way ya kumaanisha Tanzania.
 
Back
Top Bottom