EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,115
- 25,414
Ni hakika na kweli Mkuu.Vizuri mkuu kuna bado mengi hayajavumbuliwa. Ukishindwa kabisa andika kitabu kitakachobadili angalau maisha ya mtu mmoja.
Wanasema kile ambacho wewe unakidharau na kuhairisha kukifanyia kazi, wenzako wako bize wanakifanyia kazi.