WAAFRIKA NA SCIENTIFIC DISCOVERIES

WAAFRIKA NA SCIENTIFIC DISCOVERIES

usijifanye mgumu kuelewa,nimesema "historia" ni zamani haijalishi imeletwa na sayansi au la
Sayansi ipo kabla ya hiyo historia yako. Hata hyo dawa ya meno waliifanyia manjonjo ya sayansi ndo ikapatikana.
 
Wafrika ni watu wenye akili sana kilichowaangusha ni uvivu wa kuandika na kunakili mambo kwenye makaratasi ila gunduzi nyingi prototype tulifanya africans ambapo mzungu akiona huandika na kupatent
 
Wafrika ni watu wenye akili sana kilichowaangusha ni uvivu wa kuandika na kunakili mambo kwenye makaratasi ila gunduzi nyingi prototype tulifanya africans ambapo mzungu akiona huandika na kupatent
sidhani kuwa kila tiba ni sayansi Cc. waganga wa kienyeji
 
Sayansi ipo kabla ya hiyo historia yako. Hata hyo dawa ya meno waliifanyia manjonjo ya sayansi ndo ikapatikana.
sio kweli kwamba sayansi ilikuwepo kabla ya historia.acha kunidanganya
 
Back
Top Bottom