Uhuru24
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 4,505
- 5,096
Hitimisho la muziki kwa miaka ya nyuma lilikuwa ni kutoka huko Marekani na ULAYA maana tuliona wasanii wengi wakipishana kuja Afrika kufanya shoo na kuondoka na vitita vya fedha tofauti na miaka hii.
Nina mwaka wa tatu sasa au zaidi sikuwahi kuona msanii yeyote kutoka America au huko ULAYA kuja huku Afrika hasa Tanzania.
Maswali yangu ni haya:-
1_Mziki wa Afrika umekua?
2_Tumeamua kuachana na wao na kupenda vya kwetu?
3_Suala la Uchumi umechangia kuachana na wasanii wa Marekani na ULAYA kwakuwa walikuwa wanataka fedha nyingi?
Maana hata ule ushabiki wa redioni kupiga nyimbo zao siku hizi siusikii na kuona kabisa wasanii wa huko mbele kuanza kupotea barani Afrika.
Nina mwaka wa tatu sasa au zaidi sikuwahi kuona msanii yeyote kutoka America au huko ULAYA kuja huku Afrika hasa Tanzania.
Maswali yangu ni haya:-
1_Mziki wa Afrika umekua?
2_Tumeamua kuachana na wao na kupenda vya kwetu?
3_Suala la Uchumi umechangia kuachana na wasanii wa Marekani na ULAYA kwakuwa walikuwa wanataka fedha nyingi?
Maana hata ule ushabiki wa redioni kupiga nyimbo zao siku hizi siusikii na kuona kabisa wasanii wa huko mbele kuanza kupotea barani Afrika.