Waafrika mazezeta!

Waafrika mazezeta!

Mimi nadhani uzezeta ni undefined. Nina maana pana katika hili bila kuangalia watu wengine wanasemaje.Vigezo vya kutambua mbumbumbu vipo lakini vigezo vya mtu kukataa kujifunza Kinichi si umbumbu ni maamuzi. Hivi unazungumziaje suala la mafuta uarabuni? ha ha ha ha ha😛ainkiller: tuangalie kama tunajua si kama vipofu wa elimu na maelezo yasiyokuwa na uhakika kwa sababu ya jazba na ukosefu wa maarifa
 
Ukweli wa hizi 'generalized' researches ni kwamba zina-rely na kuwa influenced heavily na muelekeo wa researcher. Kaa mtu anataka kuonesha kwamba 'muafrika ana IQ ndogo' atafanya sarakasi zoote za ki-academia au hata zile za porini ili mradi tu afike kwenye conclusion anayoitaka. Mimi binafsi sisumbuliwi kabisa na hawa wanasayansi wa 'kizungu au tuseme kutoka kwa dunia ya kwanza' hususan ktk tafiti za hobelahobela kaa hizi kuhusu watu na tabia zao. Binadamu wana ile tabia ya kutaka kuonekana wa 'maana' , 'wapo juu' au 'ligi nyingine' na utashangaa how extreme people will go to 'prove' this.
 
Unajua mojawapo ya definition ya uzezeta ni kukubali jambo harakahara hata kama unadanganywa! sasa mimi nazani mtoa hoja ni zezeta wa kwanza!
 
Back
Top Bottom