Siafiki michango mingi iliyotolewa hapa JF baada ya rostam kuamua kujiuzuru ubunge wa lgunga..nadhani ni vyema watu wengine wasaidie watu wa lgunga kwanzakubaini na kuainisha ajenda za maendeleo kuwatoa hapo walipo, then ndio wafikiri juu ya nani anaweza kuwaongoza angalau kupiga hatua mbili tatu za maendeleo..tuache tusiongelee majina,jinsia na matukio! hebu tujaribu kuwa wajenzi wazuri wa nchi yetuwatu wa lgunga!wana nafasi ya kurekebisha dosari sasa!