Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
How does it help you kujitambulisha hivyo? Hivi kweli bado kuna mambo ya kitoto ya kuulizana unaishi wapi, unafanya nini ukikutana na mtu usiyemfahamau au hata kama unamfahamu hana infuluence kwako?
Nafikiri hii topic haina maana na haitusaidii kitu kwa jamii, its you and your familiy.
It aint about where you from, but where you are going.
Its good to ask where a person comes from or where he works so that you can know the type of person you dealin with. Its good to tell people you were from the ghetto once you become successful, its inspiring to some people.
no confusion,ispokuwa labda we have two smatta's in JF????????....confusion?
M2 wangu mbona tupo wengi, nishakaa msasani kisiwani, kukinyesha vyombo ndani vyaelea, nimeishi mwananyamala sokoni a.k.a mapinduzi, matundu full force soko lilikuwa hapo hapo kwangu
lakini nilianzia kigamboni tungi, gongo na mnazi zilikuwa kama chai na chapati . machizi wenzangu mpo?
How does it help you kujitambulisha hivyo? Hivi kweli bado kuna mambo ya kitoto ya kuulizana unaishi wapi, unafanya nini ukikutana na mtu usiyemfahamau au hata kama unamfahamu hana infuluence kwako?
Nafikiri hii topic haina maana na haitusaidii kitu kwa jamii, its you and your familiy.
magorofani kwa akina Ngabu
no confusion,ispokuwa labda we have two smatta's in JF
How does it help you kujitambulisha hivyo? Hivi kweli bado kuna mambo ya kitoto ya kuulizana unaishi wapi, unafanya nini ukikutana na mtu usiyemfahamau au hata kama unamfahamu hana infuluence kwako?
Nafikiri hii topic haina maana na haitusaidii kitu kwa jamii, its you and your familiy.
Babu umejuaje nilikuwa naishi Ilala kwenye mabanda ya njiwa?
Mani Ngabu
hivi Saidi Molel alishatokla jela?
Ebana umejuaje machizi walikuwa wakiniita Mani? Ushaanza kuntisha....manake duuh