Wa Mazengo Complex tukumbushane

Wa Mazengo Complex tukumbushane

Mtegowanoti

Member
Joined
Oct 25, 2015
Posts
36
Reaction score
27
Mimi namkumbuka mama Kabota na chapati zake na Mzee Kameme ngosha na nguruwe zake. ..Endeleza...
 
chitinde,mshumbusi, na wimbo wa maazengo shule yetu twaipenda sana twaitakia....,
 
Nilikuwa Bweni la Muungano. Nakumbuka kuwahi nyuka saa 11alfajiri rafiki yangu wa bweni la Azimio alivunjika mguu baada ya kuangukiwa na wa juu ya kitanda chake.

Kwa Walim namkumbuka Tembo, Unyama unyama, Lyaki,..... nitaongezea wengine
 
Nilikuwa Bweni la Muungano. Nakumbuka kuwahi nyuka saa 11alfajiri rafiki yangu wa bweni la Azimio alivunjika mguu baada ya kuangukiwa na wa juu ya kitanda chake.

Kwa Walim namkumbuka Tembo, Unyama unyama, Lyaki,..... nitaongezea wengine

Ujamaa middle hiyooo,wapi Msasa,wapi Tandike? Daaah Gima
 
Bichi na kebo mwee.
Mwl. Kombo na msemo wake "umetokea Kilombero nini?"

Babu Malima na bustani zake kule pump ya maji. Mangwea, Sam Mbwiga na company yao Sydani....
 
Mnakukumbuka Sudan, Kyue chini tuligoma Eraskto akabeba kengere akaipigia Sudani Dah!
 
Bweni letu la white house wakorofi na wezi wote tulikua Uko daah kitambo Sanaa
 
Majina yenu tujuane wana Mazengo. Mzee malago, mzee mdushi, na yule mwalimu wa physics alikuwa anaitwa nani?
 
Kibona bweni la mwenge, wapi Makunja! Nataka meal card zenye particular!!!
 
Yule Libralian alikua na bit sana house yake karibu na uwanja wa futibol...

Ule wimbo wetu wa J3..maaazengo shule yetu twaitakia barakaaaaa


Duh mazengo complex, white house my dom💪🏾💪🏾💪🏾
 
Mgalula..makunja..mshumbuzi..mzee shedy..kuchunga ng'ombe..kulinda..nyimbo ya complex...nakumbuka mengi wakuu
 
Nani anakumbuka Meal cards? Kuingia bwenini thru mabomba ya chooni, sudani, kile kisima chetu maji yako wazi na tunachota ya kunywa, kile kijiji pale iringa road (Kikuyu)

Nimekumbuka far sana duh
 
Meal card nimeiweka hapo juu.nakumbuka NK du kurud njia ya sudan night kubwa na kikuyu kuchek game....
 
Back
Top Bottom