mirror01
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 1,681
- 1,234
YEAH nikweri Sir God alimuokoa Tundu ila jamaa anayo timing saaaaana kumbuka baada ya uchaguzi Jiwe alitaka amfute rasmi ila kwa jeuri yake alikimbilia Ubalozini ....anagekuwa Jiwe ndiyo alikuwa na windwa angekuwa anakimbilia baharini ili akapige mbizi atoroke.Mungu tu ndiye alimuokoa hana u-smart huyo😅