johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,009
- 142,041
Fanya Utafiti utagundua Tundu Lissu na Magufuli wanafanana sana na hasa kwenye kuusema ukweli bila kuchangia maneno.
Wawili hawa wote walinusurika kuuawa mmoja kwa sumu na mwingine kwa risasi kwa Sababu ya misimamo yao.
Dunia ya sasa inataka watu wagumu na makauzu kama hawa walio tayari kufa wakisimamia wanachokiamini.
Ila na wewe Lissu jifunze kutumia lugha za staha unapomzungumzia Mkuu wa nchi.
Mkuu wa nchi ni tofauti kabisa Mwenyekiti wa CCM, usisahau hilo, utanishukuru!
Wawili hawa wote walinusurika kuuawa mmoja kwa sumu na mwingine kwa risasi kwa Sababu ya misimamo yao.
Dunia ya sasa inataka watu wagumu na makauzu kama hawa walio tayari kufa wakisimamia wanachokiamini.
Ila na wewe Lissu jifunze kutumia lugha za staha unapomzungumzia Mkuu wa nchi.
Mkuu wa nchi ni tofauti kabisa Mwenyekiti wa CCM, usisahau hilo, utanishukuru!