Wa Dar

akimaliza kula majani, anawasha chombo chake tayari kwa bodaboda
 
Mkuu kwa utaalamu wako hujagundua kuwa huyu anaweza kuwa binadamu ila anatuzuga tu?!!
Kiuhalisia kuna wanyama wengi kwenye umbo la binadamu na binadamu wengi kwenye umbo la wanyama... Huyu ni Mmojawapo
 
Mbuzi wa mjini wana vituko, hata wakivuka barabara wanaangalia pande zote (kulia, kushoto na mwisho kulia tena) kwanza kabla ya kuvuka, wakiona kuko shwari ndio wanavuka
 
Binadamu wa Dar havuki kwenye zebra anavuka popote pale kama mbuzi....wakati mbuzi hao pichani wanavuka kwenye zebra kama binadamu wa kweli!
Umesema ukweli. Na maderva wengi hawaeshimu zebra
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…