SAGAI GALGANO JF-Expert Member Joined Nov 13, 2009 Posts 49,973 Reaction score 75,047 May 2, 2017 #21 mshana jr said: Huyu je Click to expand... Mshana huyo kiumbe anayefanyiwa usodoma ni kiumbe gani nimeshindwa kumtambua.
mshana jr said: Huyu je Click to expand... Mshana huyo kiumbe anayefanyiwa usodoma ni kiumbe gani nimeshindwa kumtambua.
maroon7 JF-Expert Member Joined Nov 3, 2010 Posts 11,341 Reaction score 15,829 May 2, 2017 #22 Distinction said: huyu Wa tanga Click to expand... kwa hiyo hapo anatafuta 'otherwise'
mwinyi mkuu Member Joined Dec 5, 2016 Posts 28 Reaction score 22 May 2, 2017 #23 mshana jr said: Huyu je Click to expand... huyooo paka mapepe
Usangu JF-Expert Member Joined May 28, 2015 Posts 826 Reaction score 450 May 2, 2017 #24 mshana jr said: Huyu je Click to expand... Sasa huyu nihatari zaidi
RRONDO Platinum Member Joined Jan 3, 2010 Posts 57,774 Reaction score 129,531 May 2, 2017 #25 Kinachonisikitisha binadamu wanavuka KAMA MBUZI na mbuzi wanavuka kama binadamu!
ikhatibu JF-Expert Member Joined Nov 14, 2013 Posts 2,491 Reaction score 2,477 May 2, 2017 #26 akimaliza kula majani, anawasha chombo chake tayari kwa bodaboda
ikhatibu JF-Expert Member Joined Nov 14, 2013 Posts 2,491 Reaction score 2,477 May 2, 2017 #27 RRONDO said: Kinachonisikitisha binadamu wanavuka KAMA MBUZI na mbuzi wanavuka kama binadamu! Click to expand... umefikiria nini kusema hivyo?
RRONDO said: Kinachonisikitisha binadamu wanavuka KAMA MBUZI na mbuzi wanavuka kama binadamu! Click to expand... umefikiria nini kusema hivyo?
RRONDO Platinum Member Joined Jan 3, 2010 Posts 57,774 Reaction score 129,531 May 2, 2017 #28 ikhatibu said: umefikiria nini kusema hivyo? Click to expand... Binadamu wa Dar havuki kwenye zebra anavuka popote pale kama mbuzi....wakati mbuzi hao pichani wanavuka kwenye zebra kama binadamu wa kweli!
ikhatibu said: umefikiria nini kusema hivyo? Click to expand... Binadamu wa Dar havuki kwenye zebra anavuka popote pale kama mbuzi....wakati mbuzi hao pichani wanavuka kwenye zebra kama binadamu wa kweli!
RRONDO Platinum Member Joined Jan 3, 2010 Posts 57,774 Reaction score 129,531 May 2, 2017 #29 mshana jr said: View attachment 502869 Click to expand... Mkuu kwa utaalamu wako hujagundua kuwa huyu anaweza kuwa binadamu ila anatuzuga tu?!!
mshana jr said: View attachment 502869 Click to expand... Mkuu kwa utaalamu wako hujagundua kuwa huyu anaweza kuwa binadamu ila anatuzuga tu?!!
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,175 Reaction score 829,138 May 2, 2017 Thread starter #30 RRONDO said: Kinachonisikitisha binadamu wanavuka KAMA MBUZI na mbuzi wanavuka kama binadamu! Click to expand... RRONDO said: Binadamu wa Dar havuki kwenye zebra anavuka popote pale kama mbuzi....wakati mbuzi hao pichani wanavuka kwenye zebra kama binadamu wa kweli! Click to expand... Aisee kweli kabisa
RRONDO said: Kinachonisikitisha binadamu wanavuka KAMA MBUZI na mbuzi wanavuka kama binadamu! Click to expand... RRONDO said: Binadamu wa Dar havuki kwenye zebra anavuka popote pale kama mbuzi....wakati mbuzi hao pichani wanavuka kwenye zebra kama binadamu wa kweli! Click to expand... Aisee kweli kabisa
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,175 Reaction score 829,138 May 2, 2017 Thread starter #31 RRONDO said: Mkuu kwa utaalamu wako hujagundua kuwa huyu anaweza kuwa binadamu ila anatuzuga tu?!! Click to expand... Kiuhalisia kuna wanyama wengi kwenye umbo la binadamu na binadamu wengi kwenye umbo la wanyama... Huyu ni Mmojawapo
RRONDO said: Mkuu kwa utaalamu wako hujagundua kuwa huyu anaweza kuwa binadamu ila anatuzuga tu?!! Click to expand... Kiuhalisia kuna wanyama wengi kwenye umbo la binadamu na binadamu wengi kwenye umbo la wanyama... Huyu ni Mmojawapo
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Joined Nov 13, 2009 Posts 49,973 Reaction score 75,047 May 2, 2017 #32 mwinyi mkuu said: huyooo paka mapepe Click to expand... Kama paka na ukali wake anaweza kukalishwa na jogoo huyo atakuwa shoga mwandamizi kabisa
mwinyi mkuu said: huyooo paka mapepe Click to expand... Kama paka na ukali wake anaweza kukalishwa na jogoo huyo atakuwa shoga mwandamizi kabisa
N NAKWEDE JF-Expert Member Joined Aug 1, 2007 Posts 27,972 Reaction score 35,192 May 2, 2017 #33 Mbuzi wa mjini wana vituko, hata wakivuka barabara wanaangalia pande zote (kulia, kushoto na mwisho kulia tena) kwanza kabla ya kuvuka, wakiona kuko shwari ndio wanavuka
Mbuzi wa mjini wana vituko, hata wakivuka barabara wanaangalia pande zote (kulia, kushoto na mwisho kulia tena) kwanza kabla ya kuvuka, wakiona kuko shwari ndio wanavuka
ikhatibu JF-Expert Member Joined Nov 14, 2013 Posts 2,491 Reaction score 2,477 May 2, 2017 #34 RRONDO said: Binadamu wa Dar havuki kwenye zebra anavuka popote pale kama mbuzi....wakati mbuzi hao pichani wanavuka kwenye zebra kama binadamu wa kweli! Click to expand... Umesema ukweli. Na maderva wengi hawaeshimu zebra
RRONDO said: Binadamu wa Dar havuki kwenye zebra anavuka popote pale kama mbuzi....wakati mbuzi hao pichani wanavuka kwenye zebra kama binadamu wa kweli! Click to expand... Umesema ukweli. Na maderva wengi hawaeshimu zebra
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,175 Reaction score 829,138 May 2, 2017 Thread starter #35 DOUGLAS SALLU said: Kama paka na ukali wake anaweza kukalishwa na jogoo huyo atakuwa shoga mwandamizi kabisa Click to expand...
DOUGLAS SALLU said: Kama paka na ukali wake anaweza kukalishwa na jogoo huyo atakuwa shoga mwandamizi kabisa Click to expand...
RRONDO Platinum Member Joined Jan 3, 2010 Posts 57,774 Reaction score 129,531 May 2, 2017 #36 mshana jr said: Kiuhalisia kuna wanyama wengi kwenye umbo la binadamu na binadamu wengi kwenye umbo la wanyama... Huyu ni Mmojawapo Click to expand... πππ
mshana jr said: Kiuhalisia kuna wanyama wengi kwenye umbo la binadamu na binadamu wengi kwenye umbo la wanyama... Huyu ni Mmojawapo Click to expand... πππ
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,175 Reaction score 829,138 May 2, 2017 Thread starter #37 RRONDO said: πππ Click to expand...