Endelea na huo mtazamo wa kutamani vya wenzako utakuja kujuzwa siku moja kuwa njugu sio karanga!waache waendelee, sisi tutawasaidia wake zao
Hawa watakuwa wa Kenya,Wa Tz hatuna utamaduni huu.
Endelea na huo mtazamo wa kutamani vya wenzako utakuja kujuzwa siku moja kuwa njugu sio karanga!
Michango yako inafanana na avatar yako. Halafu huo mkono wa kushoto sio kama wajenzi huru kweli!!!!!!waache waendelee, sisi tutawasaidia wake zao
waache waendelee, sisi tutawasaidia wake zao
aah sjawakataza. nimewahamasisha waendelee ili sisi tuwe bize na wake zao..
Mkuu hujui kama hao ndo waoiendesha Serikali yetu? Siku wakigoma itakuwaje unadhani? Acha bana waendelee kulipa kodi.