Mrs Gudman
JF-Expert Member
- Jul 3, 2015
- 613
- 1,300
Habari naomba mnisaidie kimawazo
Mdogo wangu alisoma PCB shule ya kata akabahatika kupata one ya point 9, anachotaka kusoma ni MD pekee yake
Ameomba
UDOM-Amekosa
MUHAS-AmekosA
BUGANDO-Amekosa
KCMC-Amekosa
St. Fransis Ifakara-Amepata
Fee structure ya St. Fransis ni kubwa sana ada tu pekee ni milioni nne kamili ukiacha mahitaji mengine kama hostel
Vyuo vya serikali angalau ada siyo kubwa kihivyo ni 1.8M
Msaada
Huyu mwanafunzi akipata mkopo anaweza kuongezea kama kiasi gani ili atimize ndoto yake ya kuwa MD
Kama kuna mwanafunzi wa MD st. Fransis naomba anisaidie kujua uhalisia
Mdogo wangu alisoma PCB shule ya kata akabahatika kupata one ya point 9, anachotaka kusoma ni MD pekee yake
Ameomba
UDOM-Amekosa
MUHAS-AmekosA
BUGANDO-Amekosa
KCMC-Amekosa
St. Fransis Ifakara-Amepata
Fee structure ya St. Fransis ni kubwa sana ada tu pekee ni milioni nne kamili ukiacha mahitaji mengine kama hostel
Vyuo vya serikali angalau ada siyo kubwa kihivyo ni 1.8M
Msaada
Huyu mwanafunzi akipata mkopo anaweza kuongezea kama kiasi gani ili atimize ndoto yake ya kuwa MD
Kama kuna mwanafunzi wa MD st. Fransis naomba anisaidie kujua uhalisia