hakuna chuo cha private kinachotoa mafunzo ya kilimo na mifugo zaid ya vyuo vya serkal.
Juz nilienda pale wizara ya kilimo kuulizia kama wametoa maombi ya kujiunga na vyuo hivyo. Wamesema wanaweza kutoa mwishon mwa mwez huu au mwanzon mwa mwez may kwenye website zao.