Kabla ya kukujibu,Samahanini Ndungu..Kwanza Habarin Za Wakati Huu. Mimi Nina Swali.. Hivi Ukitaka Kusomea MD Ni Miaka Mingapi After Kumaliza Form 6. Na Je Ada Yake Inacost Ngapi Kwa Mwaka Kuanzia Mwaka Wa Kwanza.
Ufafanuzi Tafadhali.
MD ni miaka 5 unasoma chuoni ukimaliza hiyo unakwenda mwaka mmoja wa mazoezi hospital inaitwa Internship ukimaliza hiyo ndio utatambulika kama daktari na utaweza kusajiliwa na Chama cha madaktari Tanzania.Samahanini Ndungu..Kwanza Habarin Za Wakati Huu. Mimi Nina Swali.. Hivi Ukitaka Kusomea MD Ni Miaka Mingapi After Kumaliza Form 6. Na Je Ada Yake Inacost Ngapi Kwa Mwaka Kuanzia Mwaka Wa Kwanza.
Ufafanuzi Tafadhali.