Uta Uta
JF-Expert Member
- Feb 2, 2016
- 3,687
- 8,601
- Thread starter
- #41
Asante kwa kunijulisha kuwa una lower second. Ila mi hoja yangu huyu aliyepata pass with honour na aliepata division four wana tofauti?GPA ni international standard ya elimu ya juu... hayo mambo ya division ni local.... ww una force waweke division kwenye elimu ya kimataifa una force 2... kiufupi wakiweka gpa inakuwa inajulikana popote wana deal na m2 wa level gani... ss hawawezi kubadili mfumo kwa faida ya wa2 wachache... kma huelewi pambana na hali yako..... by the way gpa mbwe mbwe 2.. mtt anaweza akawa na lower second... ila akawa vzr 2 kazini zaidi ya mwenye first class