Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,047
Ahaah umewaingiza mkenge classmate wangu na wakaingiaKidogo napata pata mwanga
Ahaah umewaingiza mkenge classmate wangu na wakaingiaKidogo napata pata mwanga
Kwa kifupi huyo ni kilaza.Habari wanajamvi?
Wazazi siku hizi tumekuwa na hamasa kubwa ya kusomesha watoto wetu hadi elimu ya juu, tatizo kubwa wazazi wengi aidha tumeishia la saba au hatukusoma kabisa.
Sasa matokeo ya watoto wetu yakitoka unakuta tu cheti cha matoto kimeandikwa "pass with honours" sasa mimi kama mzazi nashindwa kujua mwanangu amepasua sana au amepata ufaulu wa chini.
Hivyo naomba chonde chonde tumieni mfumo wa division kwani mwanangu akipata division four najua tu hapa hamna kitu. Naomba kuwasilisha
Jukumu lako kama mzazi ni kusomesha tu, hayo matokeo ni jukumu la mwanafunzi.Habari wanajamvi?
Wazazi siku hizi tumekuwa na hamasa kubwa ya kusomesha watoto wetu hadi elimu ya juu, tatizo kubwa wazazi wengi aidha tumeishia la saba au hatukusoma kabisa.
Sasa matokeo ya watoto wetu yakitoka unakuta tu cheti cha matoto kimeandikwa "pass with honours" sasa mimi kama mzazi nashindwa kujua mwanangu amepasua sana au amepata ufaulu wa chini.
Hivyo naomba chonde chonde tumieni mfumo wa division kwani mwanangu akipata division four najua tu hapa hamna kitu. Naomba kuwasilisha
Nikajua lengo lako ni watoto wapate elimu nzuri, kumbe wewe ni matokeo mazuri.Hapo hapana mi natoa hela ili apate matokeo mazuri, itakuwaje matokeo yasinihusu?
Kwa hiyo kuna uwezekano wa mtu kupata zero ila akawa na elimu nzueri? Hebu nisaisieni wasomi
Sasa huko kijijini hamuwezi hata kugoogle bandugu,halafu si unaweza kusoma hata open kama kuna elimu uliikosaSasa huku kijijini ananitafsilia nani wengi wameishia kidato cha nne na mfumo wa division ndio wanauelewa. Hivyo zikiwekwa division ni rahisi zaidi
Sawa kwa huyu haiana jinsi ila naomba mfumo uwe wa division ili wanaofuata nisapate tabu kung'amua matokeo yaoMkuu sifuatlie hayo mambo mtafutie Kaz tu Mana dunia hii bila connection Kaz hakuna hata waseme wana ajili kwa mfumo gani
Ukishajua kiwango cha ufauluZitanisaidia kujuwa kiwango cha ufaulu cha mwanangu, ndio nazielewa vizuri