Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,137
- 39,365
me binafsi cjui mpaka leo hvyo vyuo kama viko hapa tanzania,me nijuavyo tanzania vyuo ni udsm,sua,udom,mzumbe,muhimbili na ardhi..sasa sijui hvyo vingne vimetoka wapi!
Yaani kusoma kote bado unafikiri TZ ina vyuo hivyo tu?? unaonekana umetokea kwenye maisha duni Sana na kifukara kiasi cha kuwa limbukeni Wa mambo Kama sokwe.....
Vyuo vilishindanishwa kuanzia ngazi ya taifa kabla ya kwenda Kule na hivyo ulivyotaja havikufurukuta.....
Mfano mzuri Wa vyuo hivyo kuwa si kitu ni wewe yaani the way ulivyo na arguments zako hauna tofauti na chakaramu asiyewahi kanyaga hata madarasa ya sekondari....
You are too low!!!!!!