Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,023
- 134,226
Katika utafiti uliofanyika majuzi,
vyuo vikuu vya Afrika Kusini
vilishika nafasi 6 katika orodha
ya vyuo vikuu kumi bora.
Chuo kikuu cha Makerere nchini
Uganda kimeorodheshwa katika
nafasi ya tatu.
Chuo kikuu cha Port Harcourt
kilichoko Nigeria kimeorodhesha
katika nafasi ya sita.
Chuo kikuu cha Nairobi nchini
Kenya kimeorodheshwa katika
nafasi ya nane.
Jarida la ''The Times Higher
Education'' lilitumia idadi na
ubora nukuu kutoka kwa
wasomi wake.
Je viwango vya ubora wa
masomo na utafiti wa vyuo vikuu
vyetu Bongo hususani UDSM vimeshuka ?
vyuo vikuu vya Afrika Kusini
vilishika nafasi 6 katika orodha
ya vyuo vikuu kumi bora.
Chuo kikuu cha Makerere nchini
Uganda kimeorodheshwa katika
nafasi ya tatu.
Chuo kikuu cha Port Harcourt
kilichoko Nigeria kimeorodhesha
katika nafasi ya sita.
Chuo kikuu cha Nairobi nchini
Kenya kimeorodheshwa katika
nafasi ya nane.
Jarida la ''The Times Higher
Education'' lilitumia idadi na
ubora nukuu kutoka kwa
wasomi wake.
Je viwango vya ubora wa
masomo na utafiti wa vyuo vikuu
vyetu Bongo hususani UDSM vimeshuka ?