Vyuo bora vya clinical medicine(private) Dar es Salaam

Vyuo bora vya clinical medicine(private) Dar es Salaam

Kasome, mtihani wanatunga nacte, ukifeli hamna kisingizio...vyuo karibu vyote vinafanana, tafuta penye mazingira mazuri yakusoma
Wewe ndiyo umeongea, wengine pumba tu! Mtihani ni mmoja kwa vyuo vyote. Ukipata 3.5 GPA unachance ya kusoma MD.
 
Nakushauri nenda city college [emoji1593].*utanishukuru ukimaliza *
 

Kwa uzoefu wangu naamini utatoka na matokeo mazuri Ukimaliza shule ambapo itakupa nafasi ya kujiendeleza mbeleni kama utataka kuelendelea.....issue ya competence ya chuo,sijajua kwa hapo city.
 
Aliomba kozi gan maana kwa pharmacy,lab,radiography,nurse wanataka one tu ila hiyo environmental health sciences anapata ata kwa second round mkuu shida kozi sijui kama inasoko
Aliomba radiology,orthopedics na hiyo environmental maana pharmacy kwenye machaguo haikuwepo
 
Aliomba radiology,orthopedics na hiyo environmental maana pharmacy kwenye machaguo haikuwepo
Hapo ngumu angeomba na udom pharmacy angepata kwani ameomba chuo kimoja tu au
 
Hapo ngumu angeomba na udom pharmacy angepata kwani ameomba chuo kimoja tu au
Udom aliomba second round pharmacy ila mpka leo ukiingia kwenye account inaandika tu your application received successfully wakati mpka dirisha la tatu limeshafunguliwa na kufungwa ijumaa ila awajatoa ata ile update ya ujachaguliwa
 
Udom aliomba second round pharmacy ila mpka leo ukiingia kwenye account inaandika tu your application received successfully wakati mpka dirisha la tatu limeshafunguliwa na kufungwa ijumaa ila awajatoa ata ile update ya ujachaguliwa
Alafu ilibidi wakati anaomba muhas angeomba na vyuo vingine maana mambo ya second round uwa magumashi tu kwa diploma lakini vuta subira tu mkuu uone watajibu nini
 
Back
Top Bottom