Vyuo 3 bora vya sheria Tanzania ni vipi?

Udsm the best in law degree kama unabisha pambanisha mtu yeyote asiye wa udsm alafu uone nani ana deep knowledge za technical aspects of law especially those supposed to be on fingertips
 
Ingawa elimu ya chuo kikuu ni jitihada ya mwanafunzi mwenyewe kwa kada hii chuo ulichosoma kinamata sana kwani inategemea zaidi nani amekupika. Kwa maoni yangu top III ni kama ifuatavyo;

1. UDSM
2. MZUMBE
3. RUCO (Hapa wanaofundisha wengi wao ni products za UDSM na MZUMBE) na hata part timers wao ni wa UDSM na Mzumbe

Kwingineko ndugu yangu utakua half cooked. Nayasema haya kutokana na uzoefu wangu nikiwa Law School of Tanzania.
 
Kweli kabisa, Open University hakuna statute wala nini lakini wanafaulu ajabu!
na huyo ndo mwanasheria sio muda wote utembee na ma statute!
 
Ingawa elimu ya chuo kikuu ni jitihada ya mwanafunzi mwenyewe kwa kada hii chuo ulichosoma kinamata sana kwani inategemea zaidi nani amekupika. Kwa maoni yangu top III ni kama ifuatavyo;

1. UDSM
2. MZUMBE
3. RUCO (Hapa wanaofundisha wengi wao ni products za UDSM na MZUMBE) na hata part timers wao ni wa UDSM na Mzumbe

Kwingineko ndugu yangu utakua half cooked. Nayasema haya kutokana na uzoefu wangu nikiwa Law School of Tanzania.

Unachosema hakina ushahidi wa kutosha maana kama source yako ni law school then itabidi ufanye utafiti upya coz hata mimi nimepita huko na nimeona uozo mwingi tu wa udsm wanaodhani wanajua sana sheria,ukweli ni kuwa imebaki historia tu coz ya kuwa chuo cha kwanza kutoa degree ya sheria nchini ila product ya sasa ni utumbo mtupu.

Katika darasa la watu 298, wamefaulu 28 na ni wanafunzi nane tu kutoka udsm waliopita na watano kutoka mzumbe waliobaki wametoka vyuo vingine,msipende ku undermine vyuo vingine kama open university na tumaini maana zina product nzuri kuliko mnavyodhani.
 
kwa taarifa yako na ukitaka kuhakikisha muone gerald ndika principal akupe data mpaka sasa hakuna chuo kilichotoa mawakili wengi kutoka law school kama tumaini!
 
Huwezi kusoma sheria kwa miaka mitatu ukajiita wanasheria.... labda mzee wa baraza.
 
Jamani mi nadhani swala la kufikiri ni chuo gani bora sio la muhimu. La muhimu ni kufikiri ni mazingira gani ukiyapata utasoma kwa comfortanility nzuri. Personally, I have seen many good lawyers fron various universities and bad lawyers from the same universities.

All you can learn in this is that uanasheria bora unapatikana kwa mtu binafsi akiwa na academic discipline...basi.
 
kWA KUONGEZEA ELIMU YA JUU KAZI YA PROF NI KUKUSYSTEMITIZE JINSI YA KUIELEWA BASIC NA FRAME WORK YA KNOWLEDGE KWA 30% WEWE UNAISEEK 70% KWA DIRECTIVES ALIZOKUPA SASA UNAONA CHUO KINANAFASI NDOGO MNO KUKUCHANGE WW KAMA WW SI MTU MAKINI ,KIPIMO:JIULIZE WANASHERIA WONDERFUL WANAFOMULA YA WANAKOTOKA ?



Kwakuongezea, rejea kwa philosopher socrates , a teacher has to expose questions to students ,so that they can find solutions for different problems when finding answers .......
 
kwa taarifa yako na ukitaka kuhakikisha muone gerald ndika principal akupe data mpaka sasa hakuna chuo kilichotoa mawakili wengi kutoka law school kama tumaini!

ndio maana mawakili wengi wa siku hizi ni vilaza. Number ndio zinawazuzua mleta mada anataka ubora.
 
kuwa good or great in Law is all dependent on the person, ila pia mazingira yanasaidia..watu ninaowajua from st. augustine wako shallow.. but in the end, it's all dependent on the person, labda product hizo ni mbovu..
 
chuo bora cha sheria ni kichwa chako,ukisoma sheria huku mvivu wa kosoma sana ukitegemea lectures tu utaishia kuwa hovyo sana,soma popote ila juhudi binafsi ndo hukufanya competent unless unapenda majina ya vyuo
 
Back
Top Bottom