asante mshana jr kwa maoni yako ila naamini hata wewe umesimuliwa au kusoma tu mtandaoni huna uhakika kama roma alitekwa ama la. endelea kutuliwaza na stori za kichawi tu haya huyajui kaka
Inaniuma sana tunapozungumzia kupotea kwa Ben kama kupotea kwa majini ya chai jikoni.
Ila binafsi nafsi yangu haikubali kuwa amededi ila yupo sehemu kahifadhiwa tu, nafikia hapa nikumbukapo matukio ya Ulimboka na Absalum Kibanda.