Calyx24
Senior Member
- Jan 13, 2018
- 179
- 242
Kwanza ningependa kutoa hongera zangu za dhati kwa wanafunzi ambao wamechaguliwa katika vyuo mbali mbali kujiunga na elimu ya juu hasa kwa ngazi ya degree pia ningependa kutoa pongez kwa hata pia wanafunzi ambao wanaendelea na masomo yao katika vyuo mbalimbali.
Dhumuni la huu uzi ni kuwasaidia wanafunzi wa vyuo mbali mbali hasa wale wa mikoani ambao wamekosa hostel za ndani ya chuo hivyo sisi tutamsaidia kumtafutia mwanafunzi sehem sahihi yenye usalama ili aweze kuendelea na masomo yake kama ilivyo hada
kwa upande wangu natoa hii service kwa wanafunzi wa vyuo vifuatavyo
UDSM
ARDHI UN
WATER INST
NIT
TUMAINI
pia location ninazo husika nazi ni
UBUNGO
MABIBO
MAWASILIANO
SINZA
Hivyo basi kama utahitaji chumba au hostel za nnje ya chuo katika location nilizo ziweka hapo juu ningependa tuwasiliane kupitia namba 0692235221
NAWASILISHA
Dhumuni la huu uzi ni kuwasaidia wanafunzi wa vyuo mbali mbali hasa wale wa mikoani ambao wamekosa hostel za ndani ya chuo hivyo sisi tutamsaidia kumtafutia mwanafunzi sehem sahihi yenye usalama ili aweze kuendelea na masomo yake kama ilivyo hada
kwa upande wangu natoa hii service kwa wanafunzi wa vyuo vifuatavyo
UDSM
ARDHI UN
WATER INST
NIT
TUMAINI
pia location ninazo husika nazi ni
UBUNGO
MABIBO
MAWASILIANO
SINZA
Hivyo basi kama utahitaji chumba au hostel za nnje ya chuo katika location nilizo ziweka hapo juu ningependa tuwasiliane kupitia namba 0692235221
NAWASILISHA