Halafu kwake vyuma lainiiiiiiIla Magu Mungu anakuona ujue
hongera mkuunilifanya mazoezi kipindi cha nyuma hivyo kwa sasa kukaa bar bila bia haisumbui japo mwanzo jamaa hawakunielewa nilipoamua kuacha pombe kutokana na changamoto zilizokuwa zinanikabili. kwa sasa hatuulizani.
kwa ufupi nimepata furaha sana kicheko zaidi watu waliondoka saa tisa usiku
asante haikuwa rahisi ila ilibidi kwa kuwa washikaji walianza kunitenga hata kabla sijawaomba offer nikaona isiwe tabu nikaanza kwa kunywa bar tofauti tofauti kisha nyumbani,baada ya hapo nakunywa na mtu ninayemweshimu sana baadaye nikaacha jumla kwa kweli namshukuru MUNGU. ila bar nakwenda na sioni tabu kutoa round japo mimi nitabaki na maji au substitute zingine.hongera mkuu